TUHUMA ZA AUSSEMS: Wabrazili wageuka kaa la moto Simba
newsare.net
Tuhuma zilizotolewa na aliyekuwa kocha wa Simba, Patrick Aussems kwamba uongozi wa klabu hiyo ulikuwa unaingilia majukumu yake ikiwamo kusajili wachezaji bila ya idhini yake, zimeonekana kuwa kaa la moto kwa mabingwa watetezi hao, huku kwenye mitandao ya kijaTUHUMA ZA AUSSEMS: Wabrazili wageuka kaa la moto Simba
Tuhuma zilizotolewa na aliyekuwa kocha wa Simba, Patrick Aussems kwamba uongozi wa klabu hiyo ulikuwa unaingilia majukumu yake ikiwamo kusajili wachezaji bila ya idhini yake, zimeonekana kuwa kaa la moto kwa mabingwa watetezi hao, huku kwenye mitandao ya kijamii swali la ‘ni nani aliyewanunua Wabrazili?’ likishika kasi. Read more