Waliobadili matumizi ya ardhi Dar es Salaam kunyang’anywa maeneo yao
newsare.net
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema ni kosa kisheria kubadilisha matumizi ya ardhi na kwamba, wale waliobadilisha katika Mkoa wa Dar es Salaam watanyang'anywa maeneo hayo.Waliobadili matumizi ya ardhi Dar es Salaam kunyang’anywa maeneo yao
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema ni kosa kisheria kubadilisha matumizi ya ardhi na kwamba, wale waliobadilisha katika Mkoa wa Dar es Salaam watanyang'anywa maeneo hayo. Read more