Must kuboresha elimu ya sayansi, teknolojia
newsare.net
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia (Must) Mkoa wa Mbeya kimesema kitaboresha utoaji elimu ya masomo ya sayansi na teknolojia katika nyanja ya ualimu ili kuwahamasisha watoto kujikita katika somo la sayansi kuanzia elimu ya msingi, sekondari na vyuo nchinMust kuboresha elimu ya sayansi, teknolojia
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia (Must) Mkoa wa Mbeya kimesema kitaboresha utoaji elimu ya masomo ya sayansi na teknolojia katika nyanja ya ualimu ili kuwahamasisha watoto kujikita katika somo la sayansi kuanzia elimu ya msingi, sekondari na vyuo nchini. Read more