Dk Bashiru azitaka taasisi za fedha kukopesha wakulima
newsare.net
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk Bashiri Ally amezitaka taasisi za kifedha kuona uwezekano wa kuweka utaratibu mzuri wa kuwakopesha fedha wakulima wa zao la mchikichi mkoani Kigoma ili kuongeza tija kwa zao hilo ambalo ni zao la kiDk Bashiru azitaka taasisi za fedha kukopesha wakulima
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk Bashiri Ally amezitaka taasisi za kifedha kuona uwezekano wa kuweka utaratibu mzuri wa kuwakopesha fedha wakulima wa zao la mchikichi mkoani Kigoma ili kuongeza tija kwa zao hilo ambalo ni zao la kimkakati. Read more