Azam iliwapoteza Yanga hapa tu
newsare.net
SIO mwanzo mzuri katika kikosi cha Yanga baada ya kocha mpya, Mbelgiji Luc Eymeal kupoteza mechi mbili za mwanzo za Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar na jana Jumamosi dhidi ya Azam Fc. Pia, atakuwa na kibarua kingine Jumatano mbele ya Singida United ugeniniAzam iliwapoteza Yanga hapa tu
SIO mwanzo mzuri katika kikosi cha Yanga baada ya kocha mpya, Mbelgiji Luc Eymeal kupoteza mechi mbili za mwanzo za Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar na jana Jumamosi dhidi ya Azam Fc. Pia, atakuwa na kibarua kingine Jumatano mbele ya Singida United ugenini. Read more