VIDEO: Simba SC ilivyomtuliza Minziro
newsare.net
Kocha wa Alliance Fred Felix ‘Minziro’ amesema kukosa umakini kwa wachezaji katika mchezo dhidi ya Simba, kumechangia timu hiyo kufungwa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.VIDEO: Simba SC ilivyomtuliza Minziro
Kocha wa Alliance Fred Felix ‘Minziro’ amesema kukosa umakini kwa wachezaji katika mchezo dhidi ya Simba, kumechangia timu hiyo kufungwa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Read more