Wamiliki wa mabasi wamjia juu DC Sabaya kutoa tuhuma za jumla
newsare.net
Moshi. Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimemtaka mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya kutotoa tuhuma za jumla kwa wamiliki wa mabasi kuhujumu miundombinu ya reli.Wamiliki wa mabasi wamjia juu DC Sabaya kutoa tuhuma za jumla
Moshi. Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimemtaka mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya kutotoa tuhuma za jumla kwa wamiliki wa mabasi kuhujumu miundombinu ya reli. Read more