Shirika la Elimu Kibaha lawatunukia tuzo viongozi wa Tanzania
newsare.net
Pwani. Hayati Baba wa Taifa, Julius Nyerere na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete wametunukiwa tuzo ya heshima na Shirika la Elimu Kibaha (SEK) ikiwa inaadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake.Shirika la Elimu Kibaha lawatunukia tuzo viongozi wa Tanzania
Pwani. Hayati Baba wa Taifa, Julius Nyerere na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete wametunukiwa tuzo ya heshima na Shirika la Elimu Kibaha (SEK) ikiwa inaadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake. Read more