Maji Nyumba ya Mungu yaashiria hatari
newsare.net
Hali ni tete katika vijiji ambavyo vinapitiwa na mkondo wa maji yanayotoka Nyumba ya Mungu kutokana na bwawa hilo kujaa maji na kuwepo uwezekano wa mafuriko na tayari uongozi wa wilaya ya Mwanga umewataka wananchi katika maeneo hayo kuhama haraka.Maji Nyumba ya Mungu yaashiria hatari
Hali ni tete katika vijiji ambavyo vinapitiwa na mkondo wa maji yanayotoka Nyumba ya Mungu kutokana na bwawa hilo kujaa maji na kuwepo uwezekano wa mafuriko na tayari uongozi wa wilaya ya Mwanga umewataka wananchi katika maeneo hayo kuhama haraka. Read more