Kalemani akagua mradi wa umeme utakaowanufaisha wananchi 10,000
newsare.net
Waziri wa Nishati nchini Tanzania, Dk Medard Kalemani amekagua mradi wa ujenzi wa kusafirisha umeme wa Kenya-Tanzania Power Interconnection Project (KTPIP) ambao utawanufaisha watu 10,000 katika vijiji 19 vilivyopo katika ya Singida na Namanga.Kalemani akagua mradi wa umeme utakaowanufaisha wananchi 10,000
Waziri wa Nishati nchini Tanzania, Dk Medard Kalemani amekagua mradi wa ujenzi wa kusafirisha umeme wa Kenya-Tanzania Power Interconnection Project (KTPIP) ambao utawanufaisha watu 10,000 katika vijiji 19 vilivyopo katika ya Singida na Namanga. Read more