Magufuli afuata nyayo za watangulizi wake uteuzi wa Majaliwa
newsare.net
Bunge la Tanzania limemuidhinisha mbunge wa Ruangwa (CCM), Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu baada ya kupigiwa kura za ndiyo 350.Magufuli afuata nyayo za watangulizi wake uteuzi wa Majaliwa
Bunge la Tanzania limemuidhinisha mbunge wa Ruangwa (CCM), Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu baada ya kupigiwa kura za ndiyo 350.