newsare.net
Mbunge wa Songwe (CCM), Philipo Mulugo amesema, Kassim Majaliwa kuteuliwa tena kuwa waziri mkuu kutaongeza kasi ya chama hicho tawala kutekeleza ilani yake ya uchaguzi mwaka 2020-2025.Mulugo asema uteuzi wa Majaliwa utaongeza kasi ya utekelezaji Ilani ya CCM
Mbunge wa Songwe (CCM), Philipo Mulugo amesema, Kassim Majaliwa kuteuliwa tena kuwa waziri mkuu kutaongeza kasi ya chama hicho tawala kutekeleza ilani yake ya uchaguzi mwaka 2020-2025. Read more