Tanzania



Profesa J apoteza ubunge jimbo la Mikumi

Joseph Haule maarufu Profesa J ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la Mikumi mkoani Morogoro kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Dennis Londo aliyepata kura 31,411
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Profesa J apoteza ubunge jimbo la Mikumi

Joseph Haule maarufu Profesa J ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la Mikumi mkoani Morogoro kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Dennis Londo aliyepata kura 31,411

Lazaro Nyalandu ashindwa ubunge Singida

Singida. Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Abeid Ighondo aliyepata kura 43,847.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lazaro Nyalandu ashindwa ubunge Singida

Singida. Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Abeid Ighondo aliyepata kura 43,847.

Rashford apiga tatu Man u ikishinda 5-0

Super sub Marcus Rashford usiku wa kumamkia leo Alhamisi Oktoba 29 amefunga mabao safi matatu katika kipindi cha pili wakati Manchester United ilipowazamisha vinara wa Ligi Kuu ya Ujerumani, RB Leipzig kwa mabao 5-0 na kushika uongozi wa kundi lao la Ligi ya
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Rashford apiga tatu Man u ikishinda 5-0

Super sub Marcus Rashford usiku wa kumamkia leo Alhamisi Oktoba 29 amefunga mabao safi matatu katika kipindi cha pili wakati Manchester United ilipowazamisha vinara wa Ligi Kuu ya Ujerumani, RB Leipzig kwa mabao 5-0 na kushika uongozi wa kundi lao la Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Morrison aikosa Yanga kwa adhabu

Kamati ya Saa 72 iliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia mwamuzi Shomary Lawi kutojihusisha na soka kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kushindwa kumudu mechi kati ya Prisons na Simba iliyochezwa Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumb
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Morrison aikosa Yanga kwa adhabu

Kamati ya Saa 72 iliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia mwamuzi Shomary Lawi kutojihusisha na soka kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kushindwa kumudu mechi kati ya Prisons na Simba iliyochezwa Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga.

CCM yashinda udiwani kata zote 36 Mbeya Mjini, Kyela kata 32

Vilevile katika jimbo jingine la Kyela mkoani Mbeya, chama tawala pia kimeibuka kidedea kwa nafasi ya udiwani baada ya kushinda kata 32 kati ya 33 jmboni humo, wakati Chadema imeshinda kata moja, amethibitisha haya Msimamizi Mkuu wa Uchunguzi Jimbo la Kyela E
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

CCM yashinda udiwani kata zote 36 Mbeya Mjini, Kyela kata 32

Vilevile katika jimbo jingine la Kyela mkoani Mbeya, chama tawala pia kimeibuka kidedea kwa nafasi ya udiwani baada ya kushinda kata 32 kati ya 33 jmboni humo, wakati Chadema imeshinda kata moja, amethibitisha haya Msimamizi Mkuu wa Uchunguzi Jimbo la Kyela Ezekiel Magehema alipozungumza na Mwananchi.

Madiwani CCM washinda kata zote 20 jimbo la Arumeru Mashariki

Wagombea wote wa udiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) katika kata 20 zilizofanya uchaguzi kati ya kata 26 jimbo la Arumeru Mashariki wameshinda.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Madiwani CCM washinda kata zote 20 jimbo la Arumeru Mashariki

Wagombea wote wa udiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) katika kata 20 zilizofanya uchaguzi kati ya kata 26 jimbo la Arumeru Mashariki wameshinda.

CCM yashinda jimbo la Handeni

Mgombea ubunge wa CCM Jimbo la  Handeni,  Reuben Kwagilwa ametangazwa kushinda nafasi hiyo kwa kupata kura 15,241 huku aliyemfuatia mgombea wa CUF, Sonia Magogo akipata kura 6713.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

CCM yashinda jimbo la Handeni

Mgombea ubunge wa CCM Jimbo la  Handeni,  Reuben Kwagilwa ametangazwa kushinda nafasi hiyo kwa kupata kura 15,241 huku aliyemfuatia mgombea wa CUF, Sonia Magogo akipata kura 6713.

Salome Makamba mbaroni akidaiwa kumpiga msimamizi

Kamanda wa Polisi anasema yeyote ambaye hajaridhishwa na matokeo au mchakato mzima kuna mamlaka zinazohusika apeleke malalamiko badala ya kuchukua sheria mkononi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Salome Makamba mbaroni akidaiwa kumpiga msimamizi

Kamanda wa Polisi anasema yeyote ambaye hajaridhishwa na matokeo au mchakato mzima kuna mamlaka zinazohusika apeleke malalamiko badala ya kuchukua sheria mkononi.

Mbowe ashindwa uchaguzi wa ubunge jimbo la Hai

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema amekuwa kiongozi na mbunge wa zamani wa kwanza wa chama hicho kushindwa kutetea nafasi yake ya ubunge baada ya mshindani wake kutangazwa kuwa mshindi jimbo la Hai.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mbowe ashindwa uchaguzi wa ubunge jimbo la Hai

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema amekuwa kiongozi na mbunge wa zamani wa kwanza wa chama hicho kushindwa kutetea nafasi yake ya ubunge baada ya mshindani wake kutangazwa kuwa mshindi jimbo la Hai.

VIDEO: Tulia Ackson vows to defeat the opposition, says the victory is imminent

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Parliamentary candidate for Mbeya Urban Constituency Dr Tulia Ackson has vowed to defeat her opponent Chadema’s candidate Joseph Mbilinyi in Wednseday’s polls with counting of votes yet to get underway.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

VIDEO: Tulia Ackson vows to defeat the opposition, says the victory is imminent

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Parliamentary candidate for Mbeya Urban Constituency Dr Tulia Ackson has vowed to defeat her opponent Chadema’s candidate Joseph Mbilinyi in Wednseday’s polls with counting of votes yet to get underway.

NEC urges public to ignore ‘fake ballot paper’ allegations

The National Electoral Commission (NEC) Chairman Judge Semistocles Kaijage has denied allegations that there were fake votes at polling station which were pre-marked.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

NEC urges public to ignore ‘fake ballot paper’ allegations

The National Electoral Commission (NEC) Chairman Judge Semistocles Kaijage has denied allegations that there were fake votes at polling station which were pre-marked.

Mbowe ashindwa kupiga kura

Mwenyekiti wa Chadema na mgombea ubunge jimbo la Hai, Freeman Mbowe ameshindwa kupiga kura kwa sababu alizoziita kuwa ni za kiusalama
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mbowe ashindwa kupiga kura

Mwenyekiti wa Chadema na mgombea ubunge jimbo la Hai, Freeman Mbowe ameshindwa kupiga kura kwa sababu alizoziita kuwa ni za kiusalama

Mambosasa asema polisi Dar hawajatumia mabomu mchakato wa uchaguzi

Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema polisi katika kanda hiyo hawajatumia mabomu ya machozi tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu Agosti 26 hadi leo Oktoba 28, 2020.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mambosasa asema polisi Dar hawajatumia mabomu mchakato wa uchaguzi

Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema polisi katika kanda hiyo hawajatumia mabomu ya machozi tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu Agosti 26 hadi leo Oktoba 28, 2020.

Upendo Peneza alalama mawakala kunyang’anywa daftari

Kauli za mgombea ubunge Geita Mjini, kupitia Chadema  Upendo Peneza zimepishana na zile za msimamizi wa uchaguzi na kamanda wa polisi baada ya kudai mawakala wake kukataliwa na baadhi ya wanachama kushikiliwa na polisi  
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Upendo Peneza alalama mawakala kunyang’anywa daftari

Kauli za mgombea ubunge Geita Mjini, kupitia Chadema  Upendo Peneza zimepishana na zile za msimamizi wa uchaguzi na kamanda wa polisi baada ya kudai mawakala wake kukataliwa na baadhi ya wanachama kushikiliwa na polisi  

Nusu fainali Ligi ya Mabingwa shakani

Johannesburg, Afrika Kusini (AFP). Mechi ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Zamalek na Raja Casablanca itakayofanyika Misri iko shakani kufanyika kutokana na janga la virusi vya corona katika klabu ya Morocco.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Nusu fainali Ligi ya Mabingwa shakani

Johannesburg, Afrika Kusini (AFP). Mechi ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Zamalek na Raja Casablanca itakayofanyika Misri iko shakani kufanyika kutokana na janga la virusi vya corona katika klabu ya Morocco.

Sababu kata nne uchaguzi kutofanyika

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Semistocles Kaijage amesema kata ya Igumbilo iliyopo manispaa ya Iringa, Kisingila  manispaa ya Kilolo na Nyahanga (mji wa Kahama) hazikufanya uchaguzi baada ya wagombea wake kufariki dunia.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Sababu kata nne uchaguzi kutofanyika

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Semistocles Kaijage amesema kata ya Igumbilo iliyopo manispaa ya Iringa, Kisingila  manispaa ya Kilolo na Nyahanga (mji wa Kahama) hazikufanya uchaguzi baada ya wagombea wake kufariki dunia.

Voter’s turnout across Ilala largely peaceful

Turnout during the morning hours during Tanzania’s general election hit high in a largely peaceful exercise spread across different polling stations in Ilala constituency.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Voter’s turnout across Ilala largely peaceful

Turnout during the morning hours during Tanzania’s general election hit high in a largely peaceful exercise spread across different polling stations in Ilala constituency.

VIDEO: Mbeya opposition legislator Joseph Mbilinyi alleges vote rigging

Parliamentary candidate for Mbeya Urban on Chadema ticket, Joseph Mbilinyi, alias 'Sugu' said on Wednesday, October 28, 2020 that chances of vote rigging were high despite the presence of his agents in polling stations.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

VIDEO: Mbeya opposition legislator Joseph Mbilinyi alleges vote rigging

Parliamentary candidate for Mbeya Urban on Chadema ticket, Joseph Mbilinyi, alias 'Sugu' said on Wednesday, October 28, 2020 that chances of vote rigging were high despite the presence of his agents in polling stations.

Low voter turn-out in Mbagala Constituency, Dar es Salaam

With polling station 30 minutes away from closure, the number of voters, who turned out to cast their votes at polling stations today in Mbagala Constituency appeared to be low since morning.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Low voter turn-out in Mbagala Constituency, Dar es Salaam

With polling station 30 minutes away from closure, the number of voters, who turned out to cast their votes at polling stations today in Mbagala Constituency appeared to be low since morning.

Wanasiasa zamu yao imekwisha, leo ni siku ya majaji milioni 29

Watanzania milioni 29.188 leo wanatarajia wanapiga kura kuchagua viongozi wao wa watakaowahudumia kwa miaka mitano ijayo. Kuanzia rais, wabunge na madiwani. Zanzibar walianza jana kuchagua rais na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wanasiasa zamu yao imekwisha, leo ni siku ya majaji milioni 29

Watanzania milioni 29.188 leo wanatarajia wanapiga kura kuchagua viongozi wao wa watakaowahudumia kwa miaka mitano ijayo. Kuanzia rais, wabunge na madiwani. Zanzibar walianza jana kuchagua rais na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

Get more results via ClueGoal