Tanzania



Polisi waeleza sababu tatu kutumia mabomu ya machozi Zanzibar

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi  kisiwani Zanzibar limesema limelazimika kutumia mabomu ya machozi katika baadhi ya maeneo kutokana na uwepo wa viashiria vya uvunjifu wa amani.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Polisi waeleza sababu tatu kutumia mabomu ya machozi Zanzibar

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi  kisiwani Zanzibar limesema limelazimika kutumia mabomu ya machozi katika baadhi ya maeneo kutokana na uwepo wa viashiria vya uvunjifu wa amani.

Vita ya kura milioni 29

Baada ya takriban siku 60 za kujinadi kukamilika leo, wagombea urais, ubunge na udiwani kesho watakuwa wakishuhudia jinsi wapigakura milioni 29.188 watakavyokuwa wakiamua vita yao.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Vita ya kura milioni 29

Baada ya takriban siku 60 za kujinadi kukamilika leo, wagombea urais, ubunge na udiwani kesho watakuwa wakishuhudia jinsi wapigakura milioni 29.188 watakavyokuwa wakiamua vita yao.

Tanzania decides: Early voting kicks off in Zanzibar today

Tanzanians are expected to cast the ballot on Wednesday October 28, however, early voting kicks off today in Zanzibar with some special groups casting their vote.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Tanzania decides: Early voting kicks off in Zanzibar today

Tanzanians are expected to cast the ballot on Wednesday October 28, however, early voting kicks off today in Zanzibar with some special groups casting their vote.

Nile dam: Ethiopia says Trump's remarks an 'instigator of war'

US President Donald Trump’s remarks suggesting Egypt may blow up the Grand Ethiopian Renaissance Dam (Gerd) has resulted in anger among Ethiopians across the globe.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Nile dam: Ethiopia says Trump's remarks an 'instigator of war'

US President Donald Trump’s remarks suggesting Egypt may blow up the Grand Ethiopian Renaissance Dam (Gerd) has resulted in anger among Ethiopians across the globe.

Simba left clueless as Azam's unbeaten run hits a brick wall

The Vodacom Premier League on Monday delivered shocking results after defending champions Simba and runaway league leaders, Azam FC were handed defeats.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Simba left clueless as Azam's unbeaten run hits a brick wall

The Vodacom Premier League on Monday delivered shocking results after defending champions Simba and runaway league leaders, Azam FC were handed defeats.

Bosi Takukuru asema uchaguzi mkuu sio kipindi cha mavuno

Mkurugenzi mkuu wa Takukuru, Brigedia Jenerali John Mbungo amewataka wasimamizi wa uchaguzi nchini Tanzania na wananchi kutambua kuwa kipindi cha uchaguzi sio cha mavuno.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Bosi Takukuru asema uchaguzi mkuu sio kipindi cha mavuno

Mkurugenzi mkuu wa Takukuru, Brigedia Jenerali John Mbungo amewataka wasimamizi wa uchaguzi nchini Tanzania na wananchi kutambua kuwa kipindi cha uchaguzi sio cha mavuno.

Polisi mkoani Shinyanga wawatoa hofu wananchi

Jeshi la polisi mkoani Shinyanga limewataka wananchi wenye sifa ya kupiga kura kujitokeze kwa wingi ili kuchagua viongozi wanaowataka kwa kuwa ulinzi utakuwa wa kutosha kwenye vituo vyote.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Polisi mkoani Shinyanga wawatoa hofu wananchi

Jeshi la polisi mkoani Shinyanga limewataka wananchi wenye sifa ya kupiga kura kujitokeze kwa wingi ili kuchagua viongozi wanaowataka kwa kuwa ulinzi utakuwa wa kutosha kwenye vituo vyote.

Mourinho: Spurs hii bado kuifikia Madrid yangu

Wiki iliyopita, Tottenham ilitangulia kufunga mabao matatu na kuongoza 3-0 hadi dakika kumi za mwisho wakati West Ham waliposawazisha na mechi kuisha kwa sare ya mabao 3-3.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mourinho: Spurs hii bado kuifikia Madrid yangu

Wiki iliyopita, Tottenham ilitangulia kufunga mabao matatu na kuongoza 3-0 hadi dakika kumi za mwisho wakati West Ham waliposawazisha na mechi kuisha kwa sare ya mabao 3-3.

Dk Bashiru ataka ofisi za CCM kuwa maeneo ya kutoa haki

Dk Bashiru amesema kwa kuwa CCM ndiyo  inayosimamia Serikali, watendaji wake hawana budi kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kusubiri viongozi wa juu.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Dk Bashiru ataka ofisi za CCM kuwa maeneo ya kutoa haki

Dk Bashiru amesema kwa kuwa CCM ndiyo  inayosimamia Serikali, watendaji wake hawana budi kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kusubiri viongozi wa juu.

Mashahidi wa Jehova waingia gerezani wakishangilia

Badala ya kuwahukumu kifungo cha jela kwa kosa la kukataa kujiunga na mafunzo ya kijeshi, mamlaka zimeamua sasa mashahidi wa Jehova na wengine, waende gerezani kwa miaka mitatu kupata mafunzo ya uongozi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mashahidi wa Jehova waingia gerezani wakishangilia

Badala ya kuwahukumu kifungo cha jela kwa kosa la kukataa kujiunga na mafunzo ya kijeshi, mamlaka zimeamua sasa mashahidi wa Jehova na wengine, waende gerezani kwa miaka mitatu kupata mafunzo ya uongozi.

VIDEO: Magufuli asifu demokrasia ndani ya CCM

Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli amesema Chama chake kinafuata misingi ya demokrasia katika utendaji ndiyo maana waliamua kumpitisha Mohammed Moni kugombea jimbo la Chemba badala ya Juma Nkamia
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Magufuli asifu demokrasia ndani ya CCM

Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli amesema Chama chake kinafuata misingi ya demokrasia katika utendaji ndiyo maana waliamua kumpitisha Mohammed Moni kugombea jimbo la Chemba badala ya Juma Nkamia

Ni wiki ya uamuzi

Ni wiki ya uamuzi. Ndivyo unavyoweza kuielezea wiki inayoanza leo wakati Watanzania milioni 29.2 watakapopiga kura kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani leshokutwa Oktoba 28.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Ni wiki ya uamuzi

Ni wiki ya uamuzi. Ndivyo unavyoweza kuielezea wiki inayoanza leo wakati Watanzania milioni 29.2 watakapopiga kura kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani leshokutwa Oktoba 28.

Magufuli aahidi kuwaamsha watendaji wake wafikiri tofauti

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi kupitia CCM, John Magufuli amesema atakapochaguliwa tena, atakwenda kuwaamsha wataalamu walio chini yake ili waanze kufikiria nje ya boksi katika utendaji wao
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli aahidi kuwaamsha watendaji wake wafikiri tofauti

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi kupitia CCM, John Magufuli amesema atakapochaguliwa tena, atakwenda kuwaamsha wataalamu walio chini yake ili waanze kufikiria nje ya boksi katika utendaji wao

Saa 7 za kutoweka kigogo ACT, aibuka mkutano wa Seif

Baada ya saa saba za sintofahamu kuhusu alipo Nassor Ahmed Mazrui, naibu katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Zanzibar, kiongozi huyo aliibuka jana alasiri katika mkutano wa kampeni wa Maalim Seif Sharif Hamad na kusimulia kilichomkuta.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Saa 7 za kutoweka kigogo ACT, aibuka mkutano wa Seif

Baada ya saa saba za sintofahamu kuhusu alipo Nassor Ahmed Mazrui, naibu katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Zanzibar, kiongozi huyo aliibuka jana alasiri katika mkutano wa kampeni wa Maalim Seif Sharif Hamad na kusimulia kilichomkuta.

RAHA, KARAHA ZA WASANII KATIKA ‘AWAMU YA TANO’

Miaka mitano ya Rais John Pombe Joseph Magufuli inaisha Jumatano. Ni siku tano tu toka hii leo. Tutatangaziwa rais atakayeunda serikali mpya. Suala la mitano tena au mitano kwanza, liko mikononi mwa wapiga kura wa nchi hii. Yes!
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

RAHA, KARAHA ZA WASANII KATIKA ‘AWAMU YA TANO’

Miaka mitano ya Rais John Pombe Joseph Magufuli inaisha Jumatano. Ni siku tano tu toka hii leo. Tutatangaziwa rais atakayeunda serikali mpya. Suala la mitano tena au mitano kwanza, liko mikononi mwa wapiga kura wa nchi hii. Yes!

Mbowe: Ndani ya saa 72 Lissu atakuwa Rais, mimi Waziri mkuu Mungu akipenda

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ndani ya saa 72 zijazo, mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu anakwenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mbowe: Ndani ya saa 72 Lissu atakuwa Rais, mimi Waziri mkuu Mungu akipenda

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ndani ya saa 72 zijazo, mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu anakwenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mgaywa wa SAU aahidi kumpatia uwaziri mkuu Dk Magufuli akiingia madarakani

Anasema Dk John Magufuli ni mchapakazi, anafaa kuwa waziri mkuu wake akiingia madarakani na ameona kuna mawaziri watatu wa Serikali ya CCM wanafaa kuteuliwa kuwa mawaziri.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mgaywa wa SAU aahidi kumpatia uwaziri mkuu Dk Magufuli akiingia madarakani

Anasema Dk John Magufuli ni mchapakazi, anafaa kuwa waziri mkuu wake akiingia madarakani na ameona kuna mawaziri watatu wa Serikali ya CCM wanafaa kuteuliwa kuwa mawaziri.

‘Jitokezeni kwa wingi Oktoba 28 kupiga kura’

Watanzania wamekumbushwa kuacha uvivu na uzembe wa kutoshiriki upigaji wa kura badala yake wajitokeze kwa wingi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28,2020.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

‘Jitokezeni kwa wingi Oktoba 28 kupiga kura’

Watanzania wamekumbushwa kuacha uvivu na uzembe wa kutoshiriki upigaji wa kura badala yake wajitokeze kwa wingi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28,2020.

Membe says leaked letter on withdrawal from presidential race is outdated

ACT-Wazalendo Presidential candidate for the United Republic of Tanzania, Bernard Membe said on Sunday, October 25, that the leaked letter in which he reportedly withdrew from the race is outdated.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Membe says leaked letter on withdrawal from presidential race is outdated

ACT-Wazalendo Presidential candidate for the United Republic of Tanzania, Bernard Membe said on Sunday, October 25, that the leaked letter in which he reportedly withdrew from the race is outdated.

ACT Wazalendo’s Mazrui re-emerges, five hours after alleged abduction

 Opposition politician Nassor Ahmed Mazrui re-emerged on Sunday afternoon after spending five hours with people who had allegedly held him hostage since morning.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

ACT Wazalendo’s Mazrui re-emerges, five hours after alleged abduction

 Opposition politician Nassor Ahmed Mazrui re-emerged on Sunday afternoon after spending five hours with people who had allegedly held him hostage since morning.

VIDEO: Lipumba kuleta ushindani ununuzi wa korosho

Mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania, atahakikisha kunakuwepo na ushindani wa ununuzi wa korosho kwa wafanyabiashara ili kuondoa utaratibu uliopo sasa.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Lipumba kuleta ushindani ununuzi wa korosho

Mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania, atahakikisha kunakuwepo na ushindani wa ununuzi wa korosho kwa wafanyabiashara ili kuondoa utaratibu uliopo sasa.

Get more results via ClueGoal