Tanzania



Lipumba aahidi makubwa kwa wakulima wa ufuta

Mgombea urais kupitia CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi  wakulima wa ufuta Wilaya ya Liwale mkoani Lindi  kuwatafutia  masoko ya  uhakika  endapo watamchagua kuwa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lipumba aahidi makubwa kwa wakulima wa ufuta

Mgombea urais kupitia CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi  wakulima wa ufuta Wilaya ya Liwale mkoani Lindi  kuwatafutia  masoko ya  uhakika  endapo watamchagua kuwa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020.

Wagombea wapongeza usawa kwenye kampeni

Wagombea Ubunge wa vyama vya upinzani jimbo la Ilemela wamesema licha ya kuingia kwenye uchaguzi bila kuwa na Tume huru ya Uchaguzi wana matumaini kufanyika uchaguzi huru.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wagombea wapongeza usawa kwenye kampeni

Wagombea Ubunge wa vyama vya upinzani jimbo la Ilemela wamesema licha ya kuingia kwenye uchaguzi bila kuwa na Tume huru ya Uchaguzi wana matumaini kufanyika uchaguzi huru.

Ferry services to Zanzibar suspended on Election Day

Travellers planning to use ferry transport between Mainland Tanzania and Zanzibar on Wednesday October 28 will have to cancel their travel arrangements after the Zanzibar Maritime Authority announced suspension of marine transport on that day.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Ferry services to Zanzibar suspended on Election Day

Travellers planning to use ferry transport between Mainland Tanzania and Zanzibar on Wednesday October 28 will have to cancel their travel arrangements after the Zanzibar Maritime Authority announced suspension of marine transport on that day.

NEC explains why Lissu’s meeting was tear-gassed in Kilwa

Police on Friday fired teargas to stop Chadema Presidential candidate Tundu Lissu’s campaign in Somanga, Kilwa after it was deemed illegal as an illegal assembly.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

NEC explains why Lissu’s meeting was tear-gassed in Kilwa

Police on Friday fired teargas to stop Chadema Presidential candidate Tundu Lissu’s campaign in Somanga, Kilwa after it was deemed illegal as an illegal assembly.

Mtaliano aliyebaka mabinti 160 anaswa

Raia wa Italia amekamatwa nchini Ufaransa kwa kibali kilichotolewa na Ujerumani, ambako anasakwa kwa makosa 160 ya kubaka na mashambulizi ya kingono dhidi ya binti yake na watoto wengine, polisi imeiambia  AFP leo Ijumaa.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mtaliano aliyebaka mabinti 160 anaswa

Raia wa Italia amekamatwa nchini Ufaransa kwa kibali kilichotolewa na Ujerumani, ambako anasakwa kwa makosa 160 ya kubaka na mashambulizi ya kingono dhidi ya binti yake na watoto wengine, polisi imeiambia  AFP leo Ijumaa.

Nyota wa Madrid hatarini kufungwa miezi sita

Mshambuliaji huyo Mserbia anashtakiwa kwa kosa la kuonekana akikata mitaa ya Belgrade na kupata kinywaji na wenzake wakati nchi ikiwa katika mlipuko wa corona.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Nyota wa Madrid hatarini kufungwa miezi sita

Mshambuliaji huyo Mserbia anashtakiwa kwa kosa la kuonekana akikata mitaa ya Belgrade na kupata kinywaji na wenzake wakati nchi ikiwa katika mlipuko wa corona.

Waangalizi wa uchaguzi watakiwa kutoshabikia vyama

Waangalizi wa uchaguzi wametakiwa kufuata sheria na kanuni zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na sio kushabikia vyama vya siasa, kutakiwa kutanguliza maslahi ya Taifa mbele.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Waangalizi wa uchaguzi watakiwa kutoshabikia vyama

Waangalizi wa uchaguzi wametakiwa kufuata sheria na kanuni zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na sio kushabikia vyama vya siasa, kutakiwa kutanguliza maslahi ya Taifa mbele.

Zidane ataka Madrid wapambane kwa Barcelona

Real Madrid na Barcelona, klabu vigogo katika soka nchini Hispania, zinakutana leo katika uwanja wa Camp Nou ikiwa ni mara ya kwanza msimu huu kukutana katika La Liga.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Zidane ataka Madrid wapambane kwa Barcelona

Real Madrid na Barcelona, klabu vigogo katika soka nchini Hispania, zinakutana leo katika uwanja wa Camp Nou ikiwa ni mara ya kwanza msimu huu kukutana katika La Liga.

Mwalimu: Tutatoa kipaumbele kwa watu si wanyamapori

Mgombea mwenza wa Chadema, Salum Mwalimu amesema chama hicho kikiibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kitatoa kipaumbele kwa watu si wanyamapori ikiwa wanyama hao watavamia makazi ya wananchi na kufanya uharibifu.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mwalimu: Tutatoa kipaumbele kwa watu si wanyamapori

Mgombea mwenza wa Chadema, Salum Mwalimu amesema chama hicho kikiibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kitatoa kipaumbele kwa watu si wanyamapori ikiwa wanyama hao watavamia makazi ya wananchi na kufanya uharibifu.

Lissu, Ponda join Seif’s campaigns in Pemba

Chadema’s Union presidential candidate Tundu Lissu and the Tanzania Islamic Communities and Institutions secretary, Sheikh Ponda Issa Ponda yesterday joined ACT-Wazalendo’s Zanzibar presidential aspirant Seif Shariff Hamad further deepening wrangles with
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Lissu, Ponda join Seif’s campaigns in Pemba

Chadema’s Union presidential candidate Tundu Lissu and the Tanzania Islamic Communities and Institutions secretary, Sheikh Ponda Issa Ponda yesterday joined ACT-Wazalendo’s Zanzibar presidential aspirant Seif Shariff Hamad further deepening wrangles with the Registrar of Political Parties (RPPs).

Tanapa receives Sh150 million donation to fight Kilimanjaro fire

According to Tanapa Zonal Senior Commissioner, Herman Batiho fire on the Mandara and Horombo routes has so far been controlled by up to 90 to 95 per cent.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Tanapa receives Sh150 million donation to fight Kilimanjaro fire

According to Tanapa Zonal Senior Commissioner, Herman Batiho fire on the Mandara and Horombo routes has so far been controlled by up to 90 to 95 per cent.

Queen aahidi kuipa kipaumbele sekta binafsi

Mgombea huyo amesema uchumi wa kisasa utakaotoa fursa kwa wananchi wengi zaidi unahitaji ushiriki wa kila mdau, hivyo Serikali yake itatambua na kuthamini mchango wa sekta binafsi kwa kuipa nafasi kubwa kwenye shughuli muhimu zitakazosaidia kuongeza mzunguko
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Queen aahidi kuipa kipaumbele sekta binafsi

Mgombea huyo amesema uchumi wa kisasa utakaotoa fursa kwa wananchi wengi zaidi unahitaji ushiriki wa kila mdau, hivyo Serikali yake itatambua na kuthamini mchango wa sekta binafsi kwa kuipa nafasi kubwa kwenye shughuli muhimu zitakazosaidia kuongeza mzunguko wa fedha, kutoa ajira hivyo kupunguza umasikini.

Aliyemwagiwa maji ya moto na mumewe aungua kwa asilimia 18

Mwanamke huyo alimwagiwa maji ya moto na mumewe Muhono John (25), Oktoba 19 kama adhabu kwa kosa hilo. Maji hayo yalikuwa yakichemka jikoni kwa ajili ya kusonga ugali.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Aliyemwagiwa maji ya moto na mumewe aungua kwa asilimia 18

Mwanamke huyo alimwagiwa maji ya moto na mumewe Muhono John (25), Oktoba 19 kama adhabu kwa kosa hilo. Maji hayo yalikuwa yakichemka jikoni kwa ajili ya kusonga ugali.

Why do people pay tax? - 2

You pay taxes. But what makes you pay taxes voluntarily? Your assessment of the benefits of evading tax against the potential penalties or fines for noncompliance - and the likelihood of being audited - may partly explain compliance decisions. Also, your abil
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Why do people pay tax? - 2

You pay taxes. But what makes you pay taxes voluntarily? Your assessment of the benefits of evading tax against the potential penalties or fines for noncompliance - and the likelihood of being audited - may partly explain compliance decisions. Also, your ability to pay the tax, as well as the costs of compliance. I discussed these three economic factors in my previous article.

Knowing customers’ needs boosts returns investment

Today, every business has a burning platform: a friction point between their customers’ expectations and offerings that are disrupting their business. The longer they wait to solve it, the more likely it is to wreck their business.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Knowing customers’ needs boosts returns investment

Today, every business has a burning platform: a friction point between their customers’ expectations and offerings that are disrupting their business. The longer they wait to solve it, the more likely it is to wreck their business.

Villains: Inflation, depreciation - 2

The ink had barely dried on my piece last Thursday (October 15, 2020) on ‘inflation’ and ‘depreciation’ when I received three responses from readers questioning the questions I raised in that article.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Villains: Inflation, depreciation - 2

The ink had barely dried on my piece last Thursday (October 15, 2020) on ‘inflation’ and ‘depreciation’ when I received three responses from readers questioning the questions I raised in that article.

Wanted: Moral choices on social media

Recently a South African radio show asked, “If you had to choose between your mobile phone and your pet, which would choose?” Think about that for a moment. Many callers responded they would choose their phone. I was shocked… But to be honest, I give mo
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Wanted: Moral choices on social media

Recently a South African radio show asked, “If you had to choose between your mobile phone and your pet, which would choose?” Think about that for a moment. Many callers responded they would choose their phone. I was shocked… But to be honest, I give more attention to my phone than to my beloved dogs!

Hakikisheni mna fedha, NEC yawaambia waangalizi wa uchaguzi

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk Wilson Mahera amewashauri waangalizi wa ndani wa uchaguzi kuwa na fedha ili wawe na uwezo wa kufanya kazi hiyo badala ya kutegemea wafadhili.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Hakikisheni mna fedha, NEC yawaambia waangalizi wa uchaguzi

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk Wilson Mahera amewashauri waangalizi wa ndani wa uchaguzi kuwa na fedha ili wawe na uwezo wa kufanya kazi hiyo badala ya kutegemea wafadhili.

Lema aibua mapya jimbo la Arusha, Msimamizi wa uchaguzi ampinga

Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema amesema amebaini hujuma ya kuongezwa wapigakura hewa na kuondolewa kwa mawakala wake.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lema aibua mapya jimbo la Arusha, Msimamizi wa uchaguzi ampinga

Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema amesema amebaini hujuma ya kuongezwa wapigakura hewa na kuondolewa kwa mawakala wake.

Takukuru Njombe yaokoa mamilioni ya shilingi ya Amcos, Saccos, Njocoba

Takukuru mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imeendelea na kazi ya ufuatiliaji na ukusanyaji wa fedha zilizokopwa na kufanyiwa ubadhilifu na vyama vya AMCOS, SACCOS na Njocoba.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Takukuru Njombe yaokoa mamilioni ya shilingi ya Amcos, Saccos, Njocoba

Takukuru mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imeendelea na kazi ya ufuatiliaji na ukusanyaji wa fedha zilizokopwa na kufanyiwa ubadhilifu na vyama vya AMCOS, SACCOS na Njocoba.

Msikie mgombea ubunge Madoga alichosema kuhusu mawakala

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Dodoma mjini, Msekeni Mkufya ameliambia Mwananchi leo Oktoba 22,2020 kuwa kazi ya kuwaapisha mawakala ilianza upya kwa siku ya leo kwa kuwa kiapo kilichofanyika hakikuwa sahihi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Msikie mgombea ubunge Madoga alichosema kuhusu mawakala

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Dodoma mjini, Msekeni Mkufya ameliambia Mwananchi leo Oktoba 22,2020 kuwa kazi ya kuwaapisha mawakala ilianza upya kwa siku ya leo kwa kuwa kiapo kilichofanyika hakikuwa sahihi.

Chadema kutumia siku 365 kuwalipa fidia wakulima

Mgombea mwenza wa Urais wa Chadema, Salum Mwalimu amesema endapo chama hicho kitashinda dola katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, kitatumia siku 365 kuwalipa wakulima wote wanadai fedha zao katika vyama vya ushirika.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Chadema kutumia siku 365 kuwalipa fidia wakulima

Mgombea mwenza wa Urais wa Chadema, Salum Mwalimu amesema endapo chama hicho kitashinda dola katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, kitatumia siku 365 kuwalipa wakulima wote wanadai fedha zao katika vyama vya ushirika.

Miradi minne ya ujenzi, ukarabati viwanja vya ndege yazinduliwa

Wizara ya Ujenzi imesema itasimamia kikamilifu ubora katika ujenzi wa viwanja vya vinne kwa lengo la kufikia malengo ya upanuaji wa fursa za kiuchumi kupitia sekta ya uchukuzi, utalii, kilimo na anga katika mikoa husika na nchi kwa ujumla.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Miradi minne ya ujenzi, ukarabati viwanja vya ndege yazinduliwa

Wizara ya Ujenzi imesema itasimamia kikamilifu ubora katika ujenzi wa viwanja vya vinne kwa lengo la kufikia malengo ya upanuaji wa fursa za kiuchumi kupitia sekta ya uchukuzi, utalii, kilimo na anga katika mikoa husika na nchi kwa ujumla.

Zec yaweka wazi waliokosewa majina yao katika daftari la wapigakura

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec), imesema kukosewa kwa majina, picha au jinsia kwa baadhi ya wapigakura kwenye daftari la wapigakura kumechangiwa na wapigakura wenyewe kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa zao wakati kazi hiyo ilipofanyika.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Zec yaweka wazi waliokosewa majina yao katika daftari la wapigakura

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec), imesema kukosewa kwa majina, picha au jinsia kwa baadhi ya wapigakura kwenye daftari la wapigakura kumechangiwa na wapigakura wenyewe kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa zao wakati kazi hiyo ilipofanyika.

VIGOGO ULAYA KUANZISHA LIGI YAO MPYA

Baada ya kufeli kwenye mpango wao Project Big Picture uliolenga kufanya mabadiliko kwa klabu za Ligi Kuu England, miamba hiyo miwili ya soka la Uingereza imekuja na mpango mwingine mpya wa kuhusu klabu za Ulaya.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIGOGO ULAYA KUANZISHA LIGI YAO MPYA

Baada ya kufeli kwenye mpango wao Project Big Picture uliolenga kufanya mabadiliko kwa klabu za Ligi Kuu England, miamba hiyo miwili ya soka la Uingereza imekuja na mpango mwingine mpya wa kuhusu klabu za Ulaya.

VIDEO: Mawakala Arumeru Mashariki waonywa kutovunja sheria

Wito huo umetolewa leo na msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo, Emmanueli Mkongo alipokuwa akiwaapishwa mawakala wa vyama vya siasa kutoka  kata 26 za jimbo hilo.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Mawakala Arumeru Mashariki waonywa kutovunja sheria

Wito huo umetolewa leo na msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo, Emmanueli Mkongo alipokuwa akiwaapishwa mawakala wa vyama vya siasa kutoka  kata 26 za jimbo hilo.

NMB yashinda tuzo ya benki salama 2020

Benki ya NMB imeshinda tuzo ya umahiri baada ya kuibuka benki salama zaidi nchini kwa mwaka 2020 iliyotolewa Jumatatu wiki hii na jarida la kimataifa la Global Finance la jijini New York, Marekani.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

NMB yashinda tuzo ya benki salama 2020

Benki ya NMB imeshinda tuzo ya umahiri baada ya kuibuka benki salama zaidi nchini kwa mwaka 2020 iliyotolewa Jumatatu wiki hii na jarida la kimataifa la Global Finance la jijini New York, Marekani.

KCBL yapigwa jeki na CRDB, yaanza kutoa huduma

Naibu Waziri Kijaji ametoa pongezi hizo katika hafla ya uzinduzi wa huduma za Benki ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL) iliyofanyika katika makao makuu ya benki hiyo mkoani Kilimanjaro na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Kilim
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

KCBL yapigwa jeki na CRDB, yaanza kutoa huduma

Naibu Waziri Kijaji ametoa pongezi hizo katika hafla ya uzinduzi wa huduma za Benki ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL) iliyofanyika katika makao makuu ya benki hiyo mkoani Kilimanjaro na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,  Anna Mghwira na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt Benard Kibese.

Taasisi za fedha, sekta binafsi zatakiwa kushirikiana

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitoa rai hiyo wakati akizungumza na wafanyabiashara wa sekta binafsi waliohudhuria Mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) jijini Dar es Salaam.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Taasisi za fedha, sekta binafsi zatakiwa kushirikiana

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alitoa rai hiyo wakati akizungumza na wafanyabiashara wa sekta binafsi waliohudhuria Mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) jijini Dar es Salaam.

Get more results via ClueGoal