Tanzania



VIDEO: Magufuli azindua kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi Kilimanjaro

Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema atashangaa viongozi wa serikalini, viongozi wa kitaifa na wanafunzi kama wataendelea kuvaa viatu vinavyozalishwa nje ya nchi badala ya vinavyozalishwa na viwanda vya ndani  
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Magufuli azindua kiwanda cha kutengeneza bidhaa za ngozi Kilimanjaro

Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema atashangaa viongozi wa serikalini, viongozi wa kitaifa na wanafunzi kama wataendelea kuvaa viatu vinavyozalishwa nje ya nchi badala ya vinavyozalishwa na viwanda vya ndani  

Magufuli: New York Times limetutaja hatuna maambukizo ya virusi vya corona

Tanzania imetajwa kuwa isiyokuwa na virusi vya corona kupitia gazeti la New York Times baada ya kuwekewa rangi nyeupe tofauti na nchi nyingine.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli: New York Times limetutaja hatuna maambukizo ya virusi vya corona

Tanzania imetajwa kuwa isiyokuwa na virusi vya corona kupitia gazeti la New York Times baada ya kuwekewa rangi nyeupe tofauti na nchi nyingine.

Mwanamke mbaroni kwa kumkeketa mjukuu wa siku tisa

Detruda Faustine (43), mkazi wa kijiji cha Chibasi Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkeketa mjukuu wake mwenye umri wa siku tisa.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mwanamke mbaroni kwa kumkeketa mjukuu wa siku tisa

Detruda Faustine (43), mkazi wa kijiji cha Chibasi Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkeketa mjukuu wake mwenye umri wa siku tisa.

Yafahamu mambo muhimu kadhaa yanayoathiri thamani ya shilingi

Thamani ya shilingi ya Tanzania inapimwa kwa kuilinganisha na nyingine duniani. Kiwango cha kubadilisha shilingi kwa sarafu nyingine ndicho kipimo kikuu cha thamani ya shilingi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Yafahamu mambo muhimu kadhaa yanayoathiri thamani ya shilingi

Thamani ya shilingi ya Tanzania inapimwa kwa kuilinganisha na nyingine duniani. Kiwango cha kubadilisha shilingi kwa sarafu nyingine ndicho kipimo kikuu cha thamani ya shilingi.

Tukiingia madarakani hatutamvunjia heshima Magufuli

Mgombea mwenza wa urais wa Chadema, Salum Mwalimu amesema endapo chama chake kitashinda dola kitamheshimu na Rais wa sasa John Magufuli na kumpatia haki zake zote kama Rais mstaafu.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Tukiingia madarakani hatutamvunjia heshima Magufuli

Mgombea mwenza wa urais wa Chadema, Salum Mwalimu amesema endapo chama chake kitashinda dola kitamheshimu na Rais wa sasa John Magufuli na kumpatia haki zake zote kama Rais mstaafu.

TRA yaongeza matumizi stempu za kielektroni bidhaa za aina nne

Kwa mujibu wa Tangazo la TRA lililotolewa katika gazeti la Mwananchi jana linaeleza kuwa hatua hiyo inafuatia kukamilika na kuanza kwa matumizi ya mfumo huo kwa awamu ya kwanza na pili.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

TRA yaongeza matumizi stempu za kielektroni bidhaa za aina nne

Kwa mujibu wa Tangazo la TRA lililotolewa katika gazeti la Mwananchi jana linaeleza kuwa hatua hiyo inafuatia kukamilika na kuanza kwa matumizi ya mfumo huo kwa awamu ya kwanza na pili.

Key events in Seychelles since independence

The Seychelles hold presidential and parliamentary elections from October 22-24. Here is a list of key events in the Indian Ocean archipelago since its independence in 1976. - Independence -
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Key events in Seychelles since independence

The Seychelles hold presidential and parliamentary elections from October 22-24. Here is a list of key events in the Indian Ocean archipelago since its independence in 1976. - Independence -

Seven NSSF employees acquitted of economic sabotage charges

The Kisutu Resident Magistrate's Court has acquitted seven National Social Security Fund (NSSF) employees out of nine who were facing five charges, including embezzlement of up to Sh2 billion.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Seven NSSF employees acquitted of economic sabotage charges

The Kisutu Resident Magistrate's Court has acquitted seven National Social Security Fund (NSSF) employees out of nine who were facing five charges, including embezzlement of up to Sh2 billion.

Registrar writes to ACT over Maalim Seif’s appearance at Lissu rally

The Office of the Registrar of Political Parties has written to ACT Wazalendo demanding an explanation why its chairman, Maalim Seif Sharif Hamad, should not be taken to task for ascending the Chadema podium  at a rally in Moshi on October 19.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Registrar writes to ACT over Maalim Seif’s appearance at Lissu rally

The Office of the Registrar of Political Parties has written to ACT Wazalendo demanding an explanation why its chairman, Maalim Seif Sharif Hamad, should not be taken to task for ascending the Chadema podium  at a rally in Moshi on October 19.

Msajili ailima barua ACT Wazalendo, kisa Maalim Seif kupanda jukwaa moja na Lissu

Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua chama cha ACT Wazalendo akikitaka kijieleze kwa nini kisichukuliwe hatua kwa mwenyekiti wake, Maalim Seif Sharif Hamad kupanda jukwaa la mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu katika mkutano uliofanyika Moshi mjin
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Msajili ailima barua ACT Wazalendo, kisa Maalim Seif kupanda jukwaa moja na Lissu

Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua chama cha ACT Wazalendo akikitaka kijieleze kwa nini kisichukuliwe hatua kwa mwenyekiti wake, Maalim Seif Sharif Hamad kupanda jukwaa la mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu katika mkutano uliofanyika Moshi mjini Oktoba 19

Mbeya mjini wachukua tahadhari ya corona Oktoba 28

Jimbo la mbeya mjini lina vituo 760 vya kupigia kura na ili kujikinga na maambukizo ya corona, vimetengewa maeneo maalumu ya wapiga kura kunawa mikono kabla ya kupiga kura na baada.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mbeya mjini wachukua tahadhari ya corona Oktoba 28

Jimbo la mbeya mjini lina vituo 760 vya kupigia kura na ili kujikinga na maambukizo ya corona, vimetengewa maeneo maalumu ya wapiga kura kunawa mikono kabla ya kupiga kura na baada.

Mgombea ubunge Chadema aliyeomba kulala rumande apata dhamana

Sababu ya kuomba kulala mahabusu, mgombea huyo anasema alikuwa hana imani na usalama wake kama angeenda nyumbani kwake kabla ya kuapishwa.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mgombea ubunge Chadema aliyeomba kulala rumande apata dhamana

Sababu ya kuomba kulala mahabusu, mgombea huyo anasema alikuwa hana imani na usalama wake kama angeenda nyumbani kwake kabla ya kuapishwa.

Mazao kutohifadhiwa vizuri kunavyoathiri lishe, uchumi

Taarifa ya hali ya uzalishaji wa chakula kwa kuzingatia kigezo cha upimaji wa kiwango cha utoshelevu inaonyesha kuwa kwa mwaka wa chakula 2019/20 Tanzania itakuwa na kiwango cha utoshelevu cha asilimia 119.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mazao kutohifadhiwa vizuri kunavyoathiri lishe, uchumi

Taarifa ya hali ya uzalishaji wa chakula kwa kuzingatia kigezo cha upimaji wa kiwango cha utoshelevu inaonyesha kuwa kwa mwaka wa chakula 2019/20 Tanzania itakuwa na kiwango cha utoshelevu cha asilimia 119.

Bibi mbaroni kwa kumkeketa mjukuu wa siku tisa

Detruda Faustine (43), mkazi wa kijiji cha Chibasi Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkeketa mjukuu wake mwenye umri wa siku tisa.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Bibi mbaroni kwa kumkeketa mjukuu wa siku tisa

Detruda Faustine (43), mkazi wa kijiji cha Chibasi Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkeketa mjukuu wake mwenye umri wa siku tisa.

Tanzania rolls out electronic tax stamps on all soft drinks, bottled water

Tanzania Revenue Authority (TRA) conducted the first phase of the ETS rollout on January 15, 2019 whereby electronic stamps were installed on 19 companies that produce alcohol, wine and spirits.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Tanzania rolls out electronic tax stamps on all soft drinks, bottled water

Tanzania Revenue Authority (TRA) conducted the first phase of the ETS rollout on January 15, 2019 whereby electronic stamps were installed on 19 companies that produce alcohol, wine and spirits.

Nyimbo za Bob Marley zinavyotumika kuhamasisha kampeni za Tundu Lissu

Wimbo huo ndiyo umetawala katika kampeni za mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu kila anapohutubia wananchi katika mikutano yake kote anakopita.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Nyimbo za Bob Marley zinavyotumika kuhamasisha kampeni za Tundu Lissu

Wimbo huo ndiyo umetawala katika kampeni za mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu kila anapohutubia wananchi katika mikutano yake kote anakopita.

Haki itendeke kuandikisha, kuapisha mawakala

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk Wilson Mahera akiwa mkoani Ruvuma amenukuliwa akiwaagiza wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa ifikapo leo Oktoba 21.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Haki itendeke kuandikisha, kuapisha mawakala

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk Wilson Mahera akiwa mkoani Ruvuma amenukuliwa akiwaagiza wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa ifikapo leo Oktoba 21.

Pyramids yakaribia kutimiza ndoto Afrika

Timu hiyo mpya katika soka barani Afrika imefanikiwa kutinga fainali baada ya kuibwaga Horoya ya Guinea kwa mabao 2-0 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Pyramids yakaribia kutimiza ndoto Afrika

Timu hiyo mpya katika soka barani Afrika imefanikiwa kutinga fainali baada ya kuibwaga Horoya ya Guinea kwa mabao 2-0 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF.

Takukuru yaokoa mabilioni Arusha

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini Tanzania (Takukuru) Mkoa wa Arusha imeokoa Sh4.1 bilioni  zilizokuwa zimefujwa na kutolewa mikopo kinyume na taratibu kuanzia Julai 2020 hadi Septemba.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Takukuru yaokoa mabilioni Arusha

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini Tanzania (Takukuru) Mkoa wa Arusha imeokoa Sh4.1 bilioni  zilizokuwa zimefujwa na kutolewa mikopo kinyume na taratibu kuanzia Julai 2020 hadi Septemba.

Lissu: We pledge a new Katiba, justice for all

Chadema presidential candidate Tundu Lissu yesterday said if elected Union President, he will ensure a Constitution is written with a view to reducing too much power vested in the Head of State.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Lissu: We pledge a new Katiba, justice for all

Chadema presidential candidate Tundu Lissu yesterday said if elected Union President, he will ensure a Constitution is written with a view to reducing too much power vested in the Head of State.

Magufuli, Lissu peg campaigns on local challenges for voters

Tanzania's main election rivals, President John Magufuli and Tundu Lissu, have turned attention to specified local challenges for voters in a bid to win support in their final rounds of campaigns.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Magufuli, Lissu peg campaigns on local challenges for voters

Tanzania's main election rivals, President John Magufuli and Tundu Lissu, have turned attention to specified local challenges for voters in a bid to win support in their final rounds of campaigns.

Mgombea ubunge Chadema aomba kulala rumande, polisi wamkamata

Mgombea ubunge wa Bukoba Mjini (Chadema), Chief Kalumuna amesema hana imani na usalama wake akienda nyumbani kwake bila kuapishwa kwani kwa mazingira, hali ya kisiasa na joto la uchaguzi jimboni humo, lolote linaweza kumtokea na hivyo kushindwa kuapishwa kesh
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mgombea ubunge Chadema aomba kulala rumande, polisi wamkamata

Mgombea ubunge wa Bukoba Mjini (Chadema), Chief Kalumuna amesema hana imani na usalama wake akienda nyumbani kwake bila kuapishwa kwani kwa mazingira, hali ya kisiasa na joto la uchaguzi jimboni humo, lolote linaweza kumtokea na hivyo kushindwa kuapishwa kesho Alhamisi Oktoba 22, 2020 kama msimamizi wa uchaguzi alivyopanga.

Serikali ya Tanzania yawaonya viongozi wa dini wanaowapigia debe wanasiasa

Serikali ya Tanzania  imewakumbusha viongozi wa madhehebu ya dini kuacha kutumia majukwaa ya kisiasa kuwanadi wagombea wa vyama mbalimbali vya siasa kwani kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wa kikatiba wa kila mtu kumchagua mgombea anayemtaka.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Serikali ya Tanzania yawaonya viongozi wa dini wanaowapigia debe wanasiasa

Serikali ya Tanzania  imewakumbusha viongozi wa madhehebu ya dini kuacha kutumia majukwaa ya kisiasa kuwanadi wagombea wa vyama mbalimbali vya siasa kwani kufanya hivyo ni kuingilia uhuru wa kikatiba wa kila mtu kumchagua mgombea anayemtaka.

Mwenyekiti wa Chadema Katavi amlalamikia msimamizi wa uchaguzi Mpanda Vijijini

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela amesema mawakala wa chama hicho hawajaapishwa
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mwenyekiti wa Chadema Katavi amlalamikia msimamizi wa uchaguzi Mpanda Vijijini

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela amesema mawakala wa chama hicho hawajaapishwa

Mawakala Kigoma Mjini wapewa neno

Mkuu wa dawati la elimu kwa umma kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kigoma Leonida Mashema amesema ni muhimu kila mmoja kuzingatia kiapo chake
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mawakala Kigoma Mjini wapewa neno

Mkuu wa dawati la elimu kwa umma kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kigoma Leonida Mashema amesema ni muhimu kila mmoja kuzingatia kiapo chake

Pakistan is killer of Hayat, says Baloch leader Nizar

Pro-independence Baloch leader, Dr Nizar Baloch said that the assassination of Hayat Baloch shows how Pakistan Army continues to target Baloch youth and the future of the nation.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Pakistan is killer of Hayat, says Baloch leader Nizar

Pro-independence Baloch leader, Dr Nizar Baloch said that the assassination of Hayat Baloch shows how Pakistan Army continues to target Baloch youth and the future of the nation.

ATCL, Airtel Money ink ticket purchasing deal

You can now buy your Air Tanzania Company Limited (ATCL) ticket via Airtel Money, thanks to a partnership deal between the national carrier and Airtel Tanzania.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

ATCL, Airtel Money ink ticket purchasing deal

You can now buy your Air Tanzania Company Limited (ATCL) ticket via Airtel Money, thanks to a partnership deal between the national carrier and Airtel Tanzania.

NEC now to announce election results in Dar es Salaam

The National Electoral Commission (NEC) has said that all votes’ summaries and announcement of the final elections results will be done in Dar es Salaam and not Dodoma as was earlier stated.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

NEC now to announce election results in Dar es Salaam

The National Electoral Commission (NEC) has said that all votes’ summaries and announcement of the final elections results will be done in Dar es Salaam and not Dodoma as was earlier stated.

Get more results via ClueGoal