Wamiliki wa hoteli waombwa kupunguza gharama kuvutia utalii
newsare.net
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Idd Kimanta amewataka wamiliki wa kampuni za utalii na hoteli mkoani Àrusha kupunguza bei ili kuvutia watalii wa ndani kutembelea hifadhi za Taifa.Wamiliki wa hoteli waombwa kupunguza gharama kuvutia utalii
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Idd Kimanta amewataka wamiliki wa kampuni za utalii na hoteli mkoani Àrusha kupunguza bei ili kuvutia watalii wa ndani kutembelea hifadhi za Taifa.