Maji Dodoma dumu moja Sh1,000
newsare.net
Wakazi wa Jiji la Dodoma wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji kwa miezi miwili sasa.Maji Dodoma dumu moja Sh1,000
Wakazi wa Jiji la Dodoma wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji kwa miezi miwili sasa.
Wakazi wa Jiji la Dodoma wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji kwa miezi miwili sasa.
Zikiwa zimebaki siku nane kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wagombea ubunge wameendelea kuandaa mawakala huku wakilalamikia utaratibu wa kuwatambulisha.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema hakuna mtu yeyote atakayeruhusiwa kukaa mita 100, kusubiri matokeo ya uchaguzi.
NASA iko katika mpango wa kumtuma mwanamke wa kwanza na mwanamume mwingine mwezini ifikapo mwaka 2024 na kumuwezesha binadamu kuwa mwezini kuishia kwa muda mrefu ifikapo mwaka 2030.
Ajax inajiandaa kuivaa Liverpool katika mechi ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya itakayofanyika Jumatano, ikiwa imesukwa upya baada ya wachezaji waliong'ara mwaka 2019 kununuliwa na klabu tajiri
Unaweza kusema mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe ameacha maswali kutokana na majibu yake kuhusu kusuasua kufanya kampeni na viongozi wa chama chake kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu.
US President Donald Trump went after top government scientist Anthony Fauci in a call with campaign staffers on Monday, suggesting the hugely respected and popular doctor was an «idiot.»
Sudan said Monday that talks with the International Criminal Court have covered options ranging from a handover to forming a hybrid court to try ousted president Omar al-Bashir over the Darfur conflict.
US Democratic lawmakers on Monday urged Egyptian Abdel Fattal al-Sisi to free political prisoners, warning that they risk death in custody due to the Covid-19 pandemic.
Mamlaka jijini Leipzig zimetoa ruhusa ya kuingiza mashabiki wachache kulinganisha na wanaoruhusiwa kuona mechi za nyumbani za Bundesliga kutokana na maambukizi ya virusi vya corona kuongezeka.
Rekodi ya umri mkubwa katika soka duniani ilikuwa inashikiliwa na mchezaji kutoka Israel aliyekuwa na umri wa miaka 73.
Dube aliyesajiliwa na Azam FC msimu huu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Highlanders FC ya Zimbabwe na tangu aanze kukinukisha katika Ligi Kuu Bara, Mzimbabwe huyo amethibitisha Wanalambalamba hawajapoteza fedha zao kumnasa nyota huyo kijana.
Msimu uliopita, mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere aliibuka na tuzo hiyo baada ya kufikisha mabao 22, akiibuka na tuzo hio kwa msimu wa pili mfululizo na kujiwekea heshima katika ufungaji.
Dk Kalemani alitoa maagizo hayo baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme Megawati 48 cha Dege wilayani Kigamboni, Dar es Salaam.
Akisomewa shtaka na mwendesha mashtaka wa Serikali, Fredrick Ndosy mbele ya hakimu mkazi mkazi mfawidhi Osmund Ngatunga, ilidaiwa mahakamani hapo kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo Oktoba 10, 2020 katika kitongoji cha Nyatula.
Lissu aliyasema hayo jana wakati wa mkutano wake wa kampeni wilayani Babati mkoani Manyara.
On 12 October, President Xi Jinping and President Macky Sall of Senegal, the current African Co-Chair of FOCAC, issued a joint congratulatory message to mark this important occasion.
Tanzania’s retired President Jakaya Kikwete on Monday poured praise on the progress made in the past five years under the leadership of President John Magufuli.
Desemba 19, 2011, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio na kutangaza Oktoba 11 kuwa siku ya kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote, dhamira ikiwa ni kutambua haki za mtoto wa kike na changamoto za kipekee anazokutana nazo.
Wakazi wa kata ya Tambani wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani wanalazimika kutumia mitumbwi kutoka eneo moja kwenda jingine baada ya daraja la Kifolongo kukatika. Daraja hilo lilikatika Aprili, 2020 lakini mvua zilizonyesha kati ya Oktoba 13 hadi 18, 2020 zimesababisha maji kujaa eneo hilo na wananchi kulazimika kutumia mitumbwi kuvuka. Katika mitumbwi hiyo wanafunzi wanatozwa Sh200 na watu wazima Sh300. Watu hulazimika kupanga foleni kusubiri mtumbwi mmoja ambao unatajwa kuwa salama zaidi kuliko mingine ambayo mara kadhaa ubinuka na kusababisha watu kutumbukia kwenye maji.
Umoja wa Ulaya (EU) unaunga mkono kikamilifu ushirikiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika wenye ujasiri na unaolenga kujenga mustakabali wa pamoja na wa angavu kwa watu wote.
Kamanda wa jeshi hilo mkoa wa Arusha,Salum Hamdun amesema askari wailiweka mtego baada ya upelelezi na ufuatiliaji wa kina na kumkamata mtuhumiwa mmoja aliyetambulika kwa jina la Bashiru Ally (45) ambaye alikiri kukiri kuhusika na tukio la mauaji ya kijana mmoja.
Jumamosi, Al Ahly ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Wydad Casablanca katika mechi nyingine ya kwanza ya nusu fainali za Ligi ya Mabingwa wa Afrika iliyofanyika Morocco, mabao yakifungwa na Mohamed 'Afsha' Magdy na Ali Maaloul.
Watu watano hao walipoteza maisha hivi karibuni jijini Dar es Salaam baada ya kukosa hewa kufuatia moto uliowaka kwenye nyumba yao.
Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete ameeleza kuwa Tanzania ya sasa siyo aliyoiacha miaka mitano iliyopita,hivyo hana shaka na Magufuli kushinda tena
Bernard Membe, mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo amesema bado ni mgombea wa chama hicho licha ya kuelezwa kuwa yupo kimya, kubainisha kuwa sasa ataibuka dakika za lala salama, akijifananisha na mchezaji aliyeingizwa uwanjani dakika za 89.
Kwa mwaka kampuni hiyo itatengeneza magari sita
Fedha hizo zimetengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita kujenga mnada wa kisasa wa mifugo katika eneo la mji mdogo wa Katoro.
Kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa Tanzania(MSD),Laurean Bwanakunu na wenzake upelelezi umefika hatua nzuri ili kukamilika.
President Donald Trump lashed out at «stupid» critics from within his own party and called for unity on Sunday after growing Republican criticism and warnings of a «bloodbath» in the November 3 election.
It’s raining, it’s almost lunchtime and 30-year-old Neelam Babul is craving a warm cup of coffee, hot samosas and a pizza from Pizza Hut. Years ago, she made do; today, she can order all of that through her phone. Within 30-40 minutes, the busy lawyer will get whatever she was craving for at her office’s doorstep – she’ll be warm and satisfied and not a single dish to wash thereafter.
Tanzania has for years lagged behind in the hides and skins business. This is despite being among major livestock producers in Africa. There are no internal markets for semi-processed leather and very little for finished leather because of competition with imported used and synthetic products.
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mugumu jimbo Katoliki la Musoma, Padri Joel Marwa alisema hayo jana katika ibada ya misa takatifu.
Simba itacheza na Tanzania Prisons baada ya kukaa kwa zaidi ya wiki mbili bila mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mshambuliaji huyo wa Manchester City alikuwa akibishana na mwamuzi juu ya mpira wa kurushwa aliowapa Arsenal nja kuishia kumshika begani.