Tanzania



Nokia, NASA kufunga mtandao wa 4G mwezini

NASA iko katika mpango wa kumtuma mwanamke wa kwanza na mwanamume mwingine mwezini ifikapo mwaka 2024 na kumuwezesha binadamu kuwa mwezini kuishia kwa muda mrefu ifikapo mwaka 2030.  
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Nokia, NASA kufunga mtandao wa 4G mwezini

NASA iko katika mpango wa kumtuma mwanamke wa kwanza na mwanamume mwingine mwezini ifikapo mwaka 2024 na kumuwezesha binadamu kuwa mwezini kuishia kwa muda mrefu ifikapo mwaka 2030.  

Ajax ilivyopukutishwa baada ya kung'ara Ulaya, inavyojijenga

Ajax inajiandaa kuivaa Liverpool katika mechi ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya itakayofanyika Jumatano, ikiwa imesukwa upya baada ya wachezaji waliong'ara mwaka 2019 kununuliwa na klabu tajiri  
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Ajax ilivyopukutishwa baada ya kung'ara Ulaya, inavyojijenga

Ajax inajiandaa kuivaa Liverpool katika mechi ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya itakayofanyika Jumatano, ikiwa imesukwa upya baada ya wachezaji waliong'ara mwaka 2019 kununuliwa na klabu tajiri  

Membe ajitokeza akiacha maswali

Unaweza kusema mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe ameacha maswali kutokana na majibu yake kuhusu kusuasua kufanya kampeni na viongozi wa chama chake kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Membe ajitokeza akiacha maswali

Unaweza kusema mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe ameacha maswali kutokana na majibu yake kuhusu kusuasua kufanya kampeni na viongozi wa chama chake kumuunga mkono mgombea urais wa Chadema, Tundu Lissu.

Trump slams govt Covid expert Fauci 'and all these idiots'

US President Donald Trump went after top government scientist Anthony Fauci in a call with campaign staffers on Monday, suggesting the hugely respected and popular doctor was an «idiot.»
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Trump slams govt Covid expert Fauci 'and all these idiots'

US President Donald Trump went after top government scientist Anthony Fauci in a call with campaign staffers on Monday, suggesting the hugely respected and popular doctor was an «idiot.»

Sudan, ICC explore options for ousted Bashir to face Darfur trial

Sudan said Monday that talks with the International Criminal Court have covered options ranging from a handover to forming a hybrid court to try ousted president Omar al-Bashir over the Darfur conflict.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Sudan, ICC explore options for ousted Bashir to face Darfur trial

Sudan said Monday that talks with the International Criminal Court have covered options ranging from a handover to forming a hybrid court to try ousted president Omar al-Bashir over the Darfur conflict.

US Democrats urge Egypt to free prisoners

US Democratic lawmakers on Monday urged Egyptian Abdel Fattal al-Sisi to free political prisoners, warning that they risk death in custody due to the Covid-19 pandemic.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

US Democrats urge Egypt to free prisoners

US Democratic lawmakers on Monday urged Egyptian Abdel Fattal al-Sisi to free political prisoners, warning that they risk death in custody due to the Covid-19 pandemic.

Leipzig kutazamwa na mashabiki 999

Mamlaka jijini Leipzig zimetoa ruhusa ya kuingiza mashabiki wachache kulinganisha na wanaoruhusiwa kuona mechi za nyumbani za Bundesliga kutokana na maambukizi ya virusi vya corona kuongezeka.  
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Leipzig kutazamwa na mashabiki 999

Mamlaka jijini Leipzig zimetoa ruhusa ya kuingiza mashabiki wachache kulinganisha na wanaoruhusiwa kuona mechi za nyumbani za Bundesliga kutokana na maambukizi ya virusi vya corona kuongezeka.  

Shujaa wa Zimbabwe mkali wa kutupia VPL

Dube aliyesajiliwa na Azam FC msimu huu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Highlanders FC ya Zimbabwe na tangu aanze kukinukisha katika Ligi Kuu Bara, Mzimbabwe huyo amethibitisha Wanalambalamba hawajapoteza fedha zao kumnasa nyota huyo kijana.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Shujaa wa Zimbabwe mkali wa kutupia VPL

Dube aliyesajiliwa na Azam FC msimu huu kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Highlanders FC ya Zimbabwe na tangu aanze kukinukisha katika Ligi Kuu Bara, Mzimbabwe huyo amethibitisha Wanalambalamba hawajapoteza fedha zao kumnasa nyota huyo kijana.

Mhilu: Nyota ya Kagera isiyoonekana Taifa Stars

Msimu uliopita, mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere aliibuka na tuzo hiyo baada ya kufikisha mabao 22, akiibuka na tuzo hio kwa msimu wa pili mfululizo na kujiwekea heshima katika ufungaji.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mhilu: Nyota ya Kagera isiyoonekana Taifa Stars

Msimu uliopita, mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere aliibuka na tuzo hiyo baada ya kufikisha mabao 22, akiibuka na tuzo hio kwa msimu wa pili mfululizo na kujiwekea heshima katika ufungaji.

Kalemani: Hakikisheni umeme haukatiki Okt 28

Dk Kalemani alitoa maagizo hayo baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme Megawati 48 cha Dege wilayani Kigamboni, Dar es Salaam.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kalemani: Hakikisheni umeme haukatiki Okt 28

Dk Kalemani alitoa maagizo hayo baada ya kutembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme Megawati 48 cha Dege wilayani Kigamboni, Dar es Salaam.

Adaiwa kumbaka mwanawe wa kumzaa

Akisomewa shtaka na mwendesha mashtaka wa Serikali, Fredrick Ndosy mbele ya hakimu mkazi mkazi mfawidhi Osmund Ngatunga, ilidaiwa mahakamani hapo kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo Oktoba 10, 2020  katika kitongoji cha  Nyatula.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Adaiwa kumbaka mwanawe wa kumzaa

Akisomewa shtaka na mwendesha mashtaka wa Serikali, Fredrick Ndosy mbele ya hakimu mkazi mkazi mfawidhi Osmund Ngatunga, ilidaiwa mahakamani hapo kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo Oktoba 10, 2020  katika kitongoji cha  Nyatula.

Two Decades of A Shared Journey toward New Heights in the New Era

On 12 October, President Xi Jinping and President Macky Sall of Senegal, the current African Co-Chair of FOCAC, issued a joint congratulatory message to mark this important occasion.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Two Decades of A Shared Journey toward New Heights in the New Era

On 12 October, President Xi Jinping and President Macky Sall of Senegal, the current African Co-Chair of FOCAC, issued a joint congratulatory message to mark this important occasion.

Kikwete lauds progress made under Magufuli

Tanzania’s retired President Jakaya Kikwete on Monday poured praise on the progress made in the past  five years  under the leadership of  President John Magufuli.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Kikwete lauds progress made under Magufuli

Tanzania’s retired President Jakaya Kikwete on Monday poured praise on the progress made in the past  five years  under the leadership of  President John Magufuli.

Room to Read Tanzania inalinda ustawi na haki za mtoto wa kike kupitia elimu

Desemba 19, 2011, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio na kutangaza Oktoba 11 kuwa siku ya kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote, dhamira ikiwa ni kutambua haki za mtoto wa kike na changamoto za kipekee anazokutana nazo.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Room to Read Tanzania inalinda ustawi na haki za mtoto wa kike kupitia elimu

Desemba 19, 2011, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio na kutangaza Oktoba 11 kuwa siku ya kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote, dhamira ikiwa ni kutambua haki za mtoto wa kike na changamoto za kipekee anazokutana nazo.

VIDEO: Mitumbwi yatumika kuvusha wananchi Mkuranga

Wakazi wa kata ya Tambani wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani wanalazimika kutumia mitumbwi kutoka eneo moja kwenda jingine baada ya  daraja la Kifolongo kukatika. Daraja hilo lilikatika Aprili,  2020 lakini mvua zilizonyesha kati ya Oktoba 13 hadi 18,  2020
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Mitumbwi yatumika kuvusha wananchi Mkuranga

Wakazi wa kata ya Tambani wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani wanalazimika kutumia mitumbwi kutoka eneo moja kwenda jingine baada ya  daraja la Kifolongo kukatika. Daraja hilo lilikatika Aprili,  2020 lakini mvua zilizonyesha kati ya Oktoba 13 hadi 18,  2020 zimesababisha maji kujaa eneo hilo na wananchi kulazimika kutumia mitumbwi kuvuka. Katika mitumbwi hiyo wanafunzi wanatozwa Sh200 na watu wazima Sh300. Watu hulazimika kupanga foleni kusubiri mtumbwi mmoja ambao unatajwa kuwa salama zaidi  kuliko mingine ambayo mara kadhaa ubinuka na kusababisha watu kutumbukia kwenye maji.

Ushirikiano kwa vitendo: Umoja wa Ulaya Tanzania unaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza umaskini

Umoja wa Ulaya (EU) unaunga mkono kikamilifu ushirikiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika wenye ujasiri na unaolenga kujenga mustakabali wa pamoja na wa angavu kwa watu wote.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Ushirikiano kwa vitendo: Umoja wa Ulaya Tanzania unaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza umaskini

Umoja wa Ulaya (EU) unaunga mkono kikamilifu ushirikiano kati ya Umoja wa Ulaya na Afrika wenye ujasiri na unaolenga kujenga mustakabali wa pamoja na wa angavu kwa watu wote.

Polisi waua watuhumiwa wawili wa ujambazi Arusha

Kamanda wa jeshi hilo  mkoa wa Arusha,Salum Hamdun amesema askari wailiweka mtego baada ya upelelezi na ufuatiliaji wa kina  na kumkamata mtuhumiwa mmoja aliyetambulika kwa jina la  Bashiru Ally (45) ambaye alikiri kukiri kuhusika na tukio la mauaji ya kij
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Polisi waua watuhumiwa wawili wa ujambazi Arusha

Kamanda wa jeshi hilo  mkoa wa Arusha,Salum Hamdun amesema askari wailiweka mtego baada ya upelelezi na ufuatiliaji wa kina  na kumkamata mtuhumiwa mmoja aliyetambulika kwa jina la  Bashiru Ally (45) ambaye alikiri kukiri kuhusika na tukio la mauaji ya kijana mmoja.

Mmorocco aongeza machungu ya timu za nyumbani

Jumamosi, Al Ahly ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Wydad Casablanca katika mechi nyingine ya kwanza ya nusu fainali za Ligi ya Mabingwa wa Afrika iliyofanyika Morocco, mabao yakifungwa na Mohamed 'Afsha' Magdy na Ali Maaloul.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mmorocco aongeza machungu ya timu za nyumbani

Jumamosi, Al Ahly ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Wydad Casablanca katika mechi nyingine ya kwanza ya nusu fainali za Ligi ya Mabingwa wa Afrika iliyofanyika Morocco, mabao yakifungwa na Mohamed 'Afsha' Magdy na Ali Maaloul.

Kikwete amtabiria ushindi Magufuli

Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete ameeleza kuwa Tanzania ya sasa siyo aliyoiacha miaka mitano iliyopita,hivyo hana shaka na Magufuli kushinda tena
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kikwete amtabiria ushindi Magufuli

Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete ameeleza kuwa Tanzania ya sasa siyo aliyoiacha miaka mitano iliyopita,hivyo hana shaka na Magufuli kushinda tena

Membe atangaza kuibuka dakika za lala salama

Bernard Membe, mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo amesema bado ni mgombea wa chama hicho licha ya kuelezwa kuwa yupo kimya, kubainisha kuwa sasa ataibuka dakika za lala salama, akijifananisha na mchezaji aliyeingizwa uwanjani dakika za 89.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Membe atangaza kuibuka dakika za lala salama

Bernard Membe, mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo amesema bado ni mgombea wa chama hicho licha ya kuelezwa kuwa yupo kimya, kubainisha kuwa sasa ataibuka dakika za lala salama, akijifananisha na mchezaji aliyeingizwa uwanjani dakika za 89.

Upelelezi kesi ya bosi wa zamani MSD wafikia pazuri

Kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa  Bohari ya Dawa Tanzania(MSD),Laurean Bwanakunu na wenzake  upelelezi umefika hatua nzuri ili kukamilika.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Upelelezi kesi ya bosi wa zamani MSD wafikia pazuri

Kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa  Bohari ya Dawa Tanzania(MSD),Laurean Bwanakunu na wenzake  upelelezi umefika hatua nzuri ili kukamilika.

Trump lashes out at 'stupid' Republican critics

President Donald Trump lashed out at «stupid» critics from within his own party and called for unity on Sunday after growing Republican criticism and warnings of a «bloodbath» in the November 3 election.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Trump lashes out at 'stupid' Republican critics

President Donald Trump lashed out at «stupid» critics from within his own party and called for unity on Sunday after growing Republican criticism and warnings of a «bloodbath» in the November 3 election.

How ordering apps are changing the face of gastronomy

It’s raining, it’s almost lunchtime and 30-year-old Neelam Babul is craving a warm cup of coffee, hot samosas and a pizza from Pizza Hut. Years ago, she made do; today, she can order all of that through her phone. Within 30-40 minutes, the busy lawyer wil
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

How ordering apps are changing the face of gastronomy

It’s raining, it’s almost lunchtime and 30-year-old Neelam Babul is craving a warm cup of coffee, hot samosas and a pizza from Pizza Hut. Years ago, she made do; today, she can order all of that through her phone. Within 30-40 minutes, the busy lawyer will get whatever she was craving for at her office’s doorstep – she’ll be warm and satisfied and not a single dish to wash thereafter.

Government strategy on leather industry

Tanzania has for years lagged behind in the hides and skins business. This is despite being among major livestock producers in Africa. There are no internal markets for semi-processed leather and very little for finished leather because of competition with im
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Government strategy on leather industry

Tanzania has for years lagged behind in the hides and skins business. This is despite being among major livestock producers in Africa. There are no internal markets for semi-processed leather and very little for finished leather because of competition with imported used and synthetic products.

Aguero azua jambo kwa mwamuzi

Mshambuliaji huyo wa Manchester City alikuwa akibishana na mwamuzi juu ya mpira wa kurushwa aliowapa Arsenal nja kuishia kumshika begani.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Aguero azua jambo kwa mwamuzi

Mshambuliaji huyo wa Manchester City alikuwa akibishana na mwamuzi juu ya mpira wa kurushwa aliowapa Arsenal nja kuishia kumshika begani.

Get more results via ClueGoal