Tanzania



Wadau wajikite katika elimu ya mpigakura

Kwa takriban siku 50 zilizopita tangu kampeni zilipoanza tumeshuhudia jinsi viongozi, wafuasi na wagombea kutoka vyama mbalimbali vya siasa walivyokuwa wanapita na kujenga hoja kutafuta uungwaji mkono.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wadau wajikite katika elimu ya mpigakura

Kwa takriban siku 50 zilizopita tangu kampeni zilipoanza tumeshuhudia jinsi viongozi, wafuasi na wagombea kutoka vyama mbalimbali vya siasa walivyokuwa wanapita na kujenga hoja kutafuta uungwaji mkono.

Guinea inavyomchagua rais wake katikati ya dimbwi la damu

Kuna koloni la zamani la Hispania, Spanish Guinea ambayo sasa inaitwa Equatorial Guinea, ipo Guinea ya Ureno inayoitwa Guinea-Bissau na Guinea ya Ufaransa, kwa maana ya Guinea.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Guinea inavyomchagua rais wake katikati ya dimbwi la damu

Kuna koloni la zamani la Hispania, Spanish Guinea ambayo sasa inaitwa Equatorial Guinea, ipo Guinea ya Ureno inayoitwa Guinea-Bissau na Guinea ya Ufaransa, kwa maana ya Guinea.

Shughuli ya kijamii ya Omjubulo yachelewesha mkutano wa Salum Mwalimu

Mkutano wa mgombea mwenza wa Urais Chadema Salum Mwalimu umesimama kwa muda kutokana na kuwepo na shughuli ya 'Omjubulo.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Shughuli ya kijamii ya Omjubulo yachelewesha mkutano wa Salum Mwalimu

Mkutano wa mgombea mwenza wa Urais Chadema Salum Mwalimu umesimama kwa muda kutokana na kuwepo na shughuli ya 'Omjubulo.

Wadau: Yanga mkiwa na matokeo Kaze hatadumu

Kaze alitua nchini Alhamis iliyopita usiku kuchukua mikoba ya Zlatko Krmpotic aliyetimuliwa mwezi uliopita kutokana na kile kilichodaiwa timu haichezi soka la kuvutia licha ya kupata ushindi katika mechi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wadau: Yanga mkiwa na matokeo Kaze hatadumu

Kaze alitua nchini Alhamis iliyopita usiku kuchukua mikoba ya Zlatko Krmpotic aliyetimuliwa mwezi uliopita kutokana na kile kilichodaiwa timu haichezi soka la kuvutia licha ya kupata ushindi katika mechi.

Chelsea yampa Lionel Messi Sh1 bilioni kwa wiki

London, England. Chelsea imeripotiwa kwamba ishajiweka sawa na kukubali kumlipa supastaa Lionel Messi mshahara wa Pauni 1 milioni kwa wiki ili atue kwenye kikosi chao wakati ilipotenga ada ya Pauni 225 milioni kumsajili mwaka 2014.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Chelsea yampa Lionel Messi Sh1 bilioni kwa wiki

London, England. Chelsea imeripotiwa kwamba ishajiweka sawa na kukubali kumlipa supastaa Lionel Messi mshahara wa Pauni 1 milioni kwa wiki ili atue kwenye kikosi chao wakati ilipotenga ada ya Pauni 225 milioni kumsajili mwaka 2014.

Soka tamu la Chama lashtua

Chama alijiunga na Simba Julai, mwaka juzi na amekuwa chachu ya mafanikio ya kikosi cha Msimbazi kilichotwaa ubingwa misimu miwili mfululizo, kubeba Kombe la FA na kufika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2018-2019.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Soka tamu la Chama lashtua

Chama alijiunga na Simba Julai, mwaka juzi na amekuwa chachu ya mafanikio ya kikosi cha Msimbazi kilichotwaa ubingwa misimu miwili mfululizo, kubeba Kombe la FA na kufika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2018-2019.

Mastaa Msimbazi wabadili gia

Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), ratiba kamili itatangazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo lakini mechi za mtoano za ligi hiyo zitaanza Novemba 27-29, huku marudiano yakiwa Desemba 4-6. Raundi ya kwanza inaanza Desemba 22-23 na marudiano J
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mastaa Msimbazi wabadili gia

Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), ratiba kamili itatangazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo lakini mechi za mtoano za ligi hiyo zitaanza Novemba 27-29, huku marudiano yakiwa Desemba 4-6. Raundi ya kwanza inaanza Desemba 22-23 na marudiano Januari 5-6, mwakani. Hatua ya makundi itaanza Februari 13-14 na robo fainali itapigwa Mei.

Kaze apewe muda, sio presha Yanga

Kocha Cedric Kaze aliyekuwa akihitajika Yanga hata kabla ya ujio wa Zlatko Krmpotic ameshatua. Ameshajifunga mkataba wa miaka miwili. Kilichobaki sasa kwa mashabiki ni kutaka kuona ile kampa..kampa tena ikirejea Yanga.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kaze apewe muda, sio presha Yanga

Kocha Cedric Kaze aliyekuwa akihitajika Yanga hata kabla ya ujio wa Zlatko Krmpotic ameshatua. Ameshajifunga mkataba wa miaka miwili. Kilichobaki sasa kwa mashabiki ni kutaka kuona ile kampa..kampa tena ikirejea Yanga.

Mchongo wa Diamond, Zuchu, Tuzo za Grammy uko hivi

Kumbuka, kwa upande wa tuzo za muziki, Grammy ndizo tuzo kubwa na za heshima zaidi kwa mwanamuziki yoyote yule duniani kwa zaidi ya miaka 60 sasa tangu zilipoanza kutolewa kwake. Yaani kuanzia Jay Z, Drake, Ray C, Alikiba, Ruby, Nandy au Adelle mpaka Barnaba
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mchongo wa Diamond, Zuchu, Tuzo za Grammy uko hivi

Kumbuka, kwa upande wa tuzo za muziki, Grammy ndizo tuzo kubwa na za heshima zaidi kwa mwanamuziki yoyote yule duniani kwa zaidi ya miaka 60 sasa tangu zilipoanza kutolewa kwake. Yaani kuanzia Jay Z, Drake, Ray C, Alikiba, Ruby, Nandy au Adelle mpaka Barnaba wote wanaota kupata tuzo hizi na kwa ambao wameshapata huenda bado wanaota kuvunja rekodi kwa kuzipata nyingi zaidi.

Cardi B ajikaanga twitter

Rapa huyo ambaye jina lake halisi ni Belcalis Almanzar aliposti picha hiyo mwanzoni mwa wiki hii ambayo ilikuwa ikionesha kifua chake kikiwa wazi na baadae kuifuta. Pamoja na hilo kutokea kwa bahati mbaya alisema sio tukio linalompa ‘stress’.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Cardi B ajikaanga twitter

Rapa huyo ambaye jina lake halisi ni Belcalis Almanzar aliposti picha hiyo mwanzoni mwa wiki hii ambayo ilikuwa ikionesha kifua chake kikiwa wazi na baadae kuifuta. Pamoja na hilo kutokea kwa bahati mbaya alisema sio tukio linalompa ‘stress’.

Mgombea Chadema kubana wawekezaji wachangie maendeleo

Rungwe. Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Rungwe, Sophia Mwakagenda amesema akipata ridhaa atahakikisha inakuwepo sheria ya kuwabana wawekezaji wasiochangia miradi ya maendeleo ya wananchi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mgombea Chadema kubana wawekezaji wachangie maendeleo

Rungwe. Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Rungwe, Sophia Mwakagenda amesema akipata ridhaa atahakikisha inakuwepo sheria ya kuwabana wawekezaji wasiochangia miradi ya maendeleo ya wananchi.

Dk Mwinyi aahidi mazingira mazuri kwa Watanzania nje ya nchi

Dk Hussein Mwinyi amewakaribisha Watanzania waishio nje ya nchi kuwekeza visiwani humo huku akiwahakikishia usalama wao na mali walizowekeza.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Dk Mwinyi aahidi mazingira mazuri kwa Watanzania nje ya nchi

Dk Hussein Mwinyi amewakaribisha Watanzania waishio nje ya nchi kuwekeza visiwani humo huku akiwahakikishia usalama wao na mali walizowekeza.

China's millennials stimulate $15 bn sex toy market

Single and locked out of Beijing's dating scene by the pandemic, Amy was encouraged by other women in online chatrooms to find a solution to her enforced abstinence -- a sex toy.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

China's millennials stimulate $15 bn sex toy market

Single and locked out of Beijing's dating scene by the pandemic, Amy was encouraged by other women in online chatrooms to find a solution to her enforced abstinence -- a sex toy.

Chadema's Lissu promises tax relief, subsidies to farmers

Opposition Chadema presidential candidate Tundu Lissu has said that if elected in the October 28 polls, he will ensure there is a tax reduction in the tobacco industry as well as ensure price stability for the crop through introduction of subsidies.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Chadema's Lissu promises tax relief, subsidies to farmers

Opposition Chadema presidential candidate Tundu Lissu has said that if elected in the October 28 polls, he will ensure there is a tax reduction in the tobacco industry as well as ensure price stability for the crop through introduction of subsidies.

VIDEO: Gavana wa Narok, Kenya anusurika kifo ajali ya helikopta

Ajali hiyo ilitokea Jumamosi Oktoba 17, 2020 wakati wakitoka katika Kijiji cha Enkipejus kilichopo kaskazini mwa Narok. Walikuwa wamekwenda kuhudhuria mazishi ya Tompo Ole Sasai, ambaye ni baba wa mkuu wa idara ya fedha wa kaunti hiyo, Julius Sasai.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Gavana wa Narok, Kenya anusurika kifo ajali ya helikopta

Ajali hiyo ilitokea Jumamosi Oktoba 17, 2020 wakati wakitoka katika Kijiji cha Enkipejus kilichopo kaskazini mwa Narok. Walikuwa wamekwenda kuhudhuria mazishi ya Tompo Ole Sasai, ambaye ni baba wa mkuu wa idara ya fedha wa kaunti hiyo, Julius Sasai.

Magufuli kumalizia Dodoma, Majaliwa Lindi na Mtwara

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Polepole alisema Rais Magufuli kabla ya kumalizia mkoani Dodoma atapitia mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara na mwishowe jijini Dodoma mahali aliposema atapiga kura.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli kumalizia Dodoma, Majaliwa Lindi na Mtwara

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Polepole alisema Rais Magufuli kabla ya kumalizia mkoani Dodoma atapitia mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara na mwishowe jijini Dodoma mahali aliposema atapiga kura.

Kero tano za Muungano zafutwa

Ufumbuzi wa kero hizo tano unatokana na vikao vya kamati ya pamoja ya serikali zote mbili februari 9 mwaka jana chini ya Makamu wa Rais anayesimamia wizara inayohusika na masuala ya Muungano nchini.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kero tano za Muungano zafutwa

Ufumbuzi wa kero hizo tano unatokana na vikao vya kamati ya pamoja ya serikali zote mbili februari 9 mwaka jana chini ya Makamu wa Rais anayesimamia wizara inayohusika na masuala ya Muungano nchini.

Profesa aomba kura akatatue changamoto za walima korosho

Mgombea Urais CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi wananchi wa Tunduru kumaliza changamoto zinazowakabili wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na masoko pamoja na bei endapo watamchagua kuwa Rais wao.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Profesa aomba kura akatatue changamoto za walima korosho

Mgombea Urais CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi wananchi wa Tunduru kumaliza changamoto zinazowakabili wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na masoko pamoja na bei endapo watamchagua kuwa Rais wao.

Lissu: Nikiwa rais Bunge litarushwa mubashara

Mgombea huyo aliwataka wananchi kuhamasishana kwenda kupiga kura ili kufanya mabadiliko ya utawala wa nchi yao zikiwa zimebaki siku 9 kufikia siku ya Uchaguzi, Oktoba 28.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lissu: Nikiwa rais Bunge litarushwa mubashara

Mgombea huyo aliwataka wananchi kuhamasishana kwenda kupiga kura ili kufanya mabadiliko ya utawala wa nchi yao zikiwa zimebaki siku 9 kufikia siku ya Uchaguzi, Oktoba 28.

Magufuli kuendelea na kampeni Pwani, kuhitimisha Dodoma

Mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli Oktoba 19, 2020 ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa sita akianzia Pwani na kumalizia mkoani Dodoma Oktoba 26, 2020.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli kuendelea na kampeni Pwani, kuhitimisha Dodoma

Mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli Oktoba 19, 2020 ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa sita akianzia Pwani na kumalizia mkoani Dodoma Oktoba 26, 2020.

Alichokisema Kikwete kuhusu CCM, Magufuli

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kwa kuwa chama hicho tawala kina sera nzuri na kinazitekeleza.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Alichokisema Kikwete kuhusu CCM, Magufuli

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kwa kuwa chama hicho tawala kina sera nzuri na kinazitekeleza.

Lissu: Nichagueni kuwa rais niwe mfariji wenu

Mgombea urais kupitia Chadema, Tundu Lissu amewaomba Watanzania kumchagua ili aweze kuwafariji kwa kuwatatulia kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo ukosefu wa maji safi na salama.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lissu: Nichagueni kuwa rais niwe mfariji wenu

Mgombea urais kupitia Chadema, Tundu Lissu amewaomba Watanzania kumchagua ili aweze kuwafariji kwa kuwatatulia kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo ukosefu wa maji safi na salama.

Mvua iliyotikisa Dar ilivyoacha misemo mitandaoni

Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo hutumia matukio husika kufanya masihara, na moja ya matukio hayo ni mvua kubwa iliyonyesha Oktoba 14 na 15, 2020 jijini Dar es Salaam na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo huku watu 12 wakiripotiwa kufariki dunia.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mvua iliyotikisa Dar ilivyoacha misemo mitandaoni

Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo hutumia matukio husika kufanya masihara, na moja ya matukio hayo ni mvua kubwa iliyonyesha Oktoba 14 na 15, 2020 jijini Dar es Salaam na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo huku watu 12 wakiripotiwa kufariki dunia.

Day Seven: Kilimanjaro firefighters receive food and water donation

By Saturday, October 17, the containment of the blaze is at 98 percent as the firefighters led by Tanapa, continue to battle the flames that erupted on Sunday in collaboration with the Fire and Rescue Force and other volunteers.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Day Seven: Kilimanjaro firefighters receive food and water donation

By Saturday, October 17, the containment of the blaze is at 98 percent as the firefighters led by Tanapa, continue to battle the flames that erupted on Sunday in collaboration with the Fire and Rescue Force and other volunteers.

Five issues removed from union contentious matters’ list

Five issues have been officially removed from the list of union contentious issues in the efforts to strengthen the union between Tanganyika and Zanzibar.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Five issues removed from union contentious matters’ list

Five issues have been officially removed from the list of union contentious issues in the efforts to strengthen the union between Tanganyika and Zanzibar.

Kwa hili la umri Simba wamepiga bao

MASHABIKI wa Simba na Yanga wamezoeleka kutupiana vijembe kuhusu umri wa wachezaji. Utasikia “jamaa wamesajili wazee, ooh!! Ile ni timu ya wazee, sasa yule si anacheza na wajukuu zake kabisa.” Hayo ni maneno ya kawaida kwa watani hao wa jadi na hakuna upa
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kwa hili la umri Simba wamepiga bao

MASHABIKI wa Simba na Yanga wamezoeleka kutupiana vijembe kuhusu umri wa wachezaji. Utasikia “jamaa wamesajili wazee, ooh!! Ile ni timu ya wazee, sasa yule si anacheza na wajukuu zake kabisa.” Hayo ni maneno ya kawaida kwa watani hao wa jadi na hakuna upande ambao unaweza kukubali kushindwa kirahisi vita hiyo ya maneno.

Wanderess finds her match in symbolic city of love

Belmira shut her eyes in exasperation. She was on flight, on her way to her dream city Paris. She did not think she would ever need a man again. “What for?” She mentally screeched.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Wanderess finds her match in symbolic city of love

Belmira shut her eyes in exasperation. She was on flight, on her way to her dream city Paris. She did not think she would ever need a man again. “What for?” She mentally screeched.

ACT's Zitto endorses Lissu for president ahead of polls

ACT-Wazalendo leader Zitto Kabwe has officially declared his support for fellow opposition party presidential candidate Tundu Lissu of Chadema. Mr Kabwe, who is running for a parliamentary seat for Kigoma-Urban, released a statement yesterday as he returned t
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

ACT's Zitto endorses Lissu for president ahead of polls

ACT-Wazalendo leader Zitto Kabwe has officially declared his support for fellow opposition party presidential candidate Tundu Lissu of Chadema. Mr Kabwe, who is running for a parliamentary seat for Kigoma-Urban, released a statement yesterday as he returned to the campaign races after his road accident that forced him to take a recovery break. In his statement issued yesterday, Mr Kabwe said his personal vote will go to Mr Lissu of Chadema because the latter is the only opposition presidential candidate with the capability of removing the ruling CCM from power.

Dar es Salaam's gridlock and feeder roads puzzle

There has never been a more overt display of Dar es Salaam’s dire need for traffic decongestion mechanisms as when heavy rains start mercilessly pouring.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Dar es Salaam's gridlock and feeder roads puzzle

There has never been a more overt display of Dar es Salaam’s dire need for traffic decongestion mechanisms as when heavy rains start mercilessly pouring.

Joe Biden sets fundraising record with $383m in September

Joe Biden smashed his own monthly fundraising record by taking in $383 million in September for his presidential campaign, thanks mainly to a flood of donations after his first debate with President Donald Trump.
The Citizen | Tanzanias leading English news site - Home

Joe Biden sets fundraising record with $383m in September

Joe Biden smashed his own monthly fundraising record by taking in $383 million in September for his presidential campaign, thanks mainly to a flood of donations after his first debate with President Donald Trump.

Get more results via ClueGoal