Viongozi 20 wa Chadema wakamatwa wakidaiwa kupanga maandamano
newsare.net
Viongozi 20 wa Chadema Mkoa wa Singida wamekamatwa na polisi leo Jumapili Novemba mosi, 2020 kwa madai ya kupanga kufanya maandamano.Viongozi 20 wa Chadema wakamatwa wakidaiwa kupanga maandamano
Viongozi 20 wa Chadema Mkoa wa Singida wamekamatwa na polisi leo Jumapili Novemba mosi, 2020 kwa madai ya kupanga kufanya maandamano.