Tanzania



Maalim Seif asema hawajui alipo Mazrui , polisi wafuatilia

Wakati mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad akisema hajui alipo naibu katibu mkuu wa chama hicho, Nassor Ahmed Mazrui ambaye tangu jana asubuhi Alhamisi Oktoba 29, 2020 hajulikani alipo, jeshi la polisi limesema linafuatilia suala hilo.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Maalim Seif asema hawajui alipo Mazrui , polisi wafuatilia

Wakati mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad akisema hajui alipo naibu katibu mkuu wa chama hicho, Nassor Ahmed Mazrui ambaye tangu jana asubuhi Alhamisi Oktoba 29, 2020 hajulikani alipo, jeshi la polisi limesema linafuatilia suala hilo.

VIDEO: Kigoma Kusini mshindi ni Bidyanguze wa CCM

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kigoma Kusini, Weja Ngollo amemtangaza mgombea wa CCM, Nashon Bidyanguze  kuwa mshindi katika jimbo hilo kwa kupata kura 36, 496 akifuatiwa na Evarist Gregory wa Chadema aliyepata kura 2,476.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Kigoma Kusini mshindi ni Bidyanguze wa CCM

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kigoma Kusini, Weja Ngollo amemtangaza mgombea wa CCM, Nashon Bidyanguze  kuwa mshindi katika jimbo hilo kwa kupata kura 36, 496 akifuatiwa na Evarist Gregory wa Chadema aliyepata kura 2,476.

Kingu wa CCM ashinda ubunge

Elibariki Kingu wa CCM, ametetea kiti chake cha ubunge jimbo la Singida Magharibi kwa kupata kura 32,720 kati ya kura 41,068.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kingu wa CCM ashinda ubunge

Elibariki Kingu wa CCM, ametetea kiti chake cha ubunge jimbo la Singida Magharibi kwa kupata kura 32,720 kati ya kura 41,068.

Ni anguko la upinzani?

Baada ya matokeo ya zaidi ya majimbo 130, zaidi ya nusu ya viti 264 vya majimbo kutangazwa, ni wagombea wawili tu kutoka CUF na Chadema  waliotangazwa kushinda ubunge, huku maeneo ambayo upinzani ulikuwa na nguvu kama Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, Manyara na M
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Ni anguko la upinzani?

Baada ya matokeo ya zaidi ya majimbo 130, zaidi ya nusu ya viti 264 vya majimbo kutangazwa, ni wagombea wawili tu kutoka CUF na Chadema  waliotangazwa kushinda ubunge, huku maeneo ambayo upinzani ulikuwa na nguvu kama Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, Manyara na Mara kuchukuliwa na CCM.

Wapinzani washinda majimbo mawili kati ya 220, matokeo yaendelea kutangazwa

Wakati wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kutangaza matokeo ya ubunge katika majimbo mbalimbali nchini Tanzania, hadi leo Ijumaa Oktoba 30, 2020  saa 7:10 mchana wapinzani walikuwa wameshinda majimbo mawili kati ya 220.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wapinzani washinda majimbo mawili kati ya 220, matokeo yaendelea kutangazwa

Wakati wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kutangaza matokeo ya ubunge katika majimbo mbalimbali nchini Tanzania, hadi leo Ijumaa Oktoba 30, 2020  saa 7:10 mchana wapinzani walikuwa wameshinda majimbo mawili kati ya 220.

Watu 48, 406 kati ya 109,767 wampigia kura Kibajaji jimbo la Mvumi

Mgombea ubunge jimbo la Mvumi (CCM) Livingstone Lusinde maarufu Kibajaji amefanikiwa kutetea ubunge wake baada ya kupata kura 41,371 katika uchaguzi mkuu uliofanyika juzi Jumatano Oktoba 28, 2020
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Watu 48, 406 kati ya 109,767 wampigia kura Kibajaji jimbo la Mvumi

Mgombea ubunge jimbo la Mvumi (CCM) Livingstone Lusinde maarufu Kibajaji amefanikiwa kutetea ubunge wake baada ya kupata kura 41,371 katika uchaguzi mkuu uliofanyika juzi Jumatano Oktoba 28, 2020

Ndejembi mshindi Chamwino

Mgombea ubunge katika jimbo la Chamwino (CCM), Deogratius Ndejembi ameshinda baada ya kupata kura 67,092 katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumatano Oktoba 28, 2020.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Ndejembi mshindi Chamwino

Mgombea ubunge katika jimbo la Chamwino (CCM), Deogratius Ndejembi ameshinda baada ya kupata kura 67,092 katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumatano Oktoba 28, 2020.

VIDEO: Dk Mwinyi atoa ujumbe baada ya kutangazwa mshindi

Mara baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Hussein Mwinyi amewataka Wazanzibari kuungana kuyaponya majeraha ya uchaguzi mkuu.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Dk Mwinyi atoa ujumbe baada ya kutangazwa mshindi

Mara baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Hussein Mwinyi amewataka Wazanzibari kuungana kuyaponya majeraha ya uchaguzi mkuu.

Dk Charles Kimei ashinda ubunge Vunjo

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Vunjo, Michael Mwandezi amemtangaza Dk Charles Kimei kupitia CCM kuwa mshindi katika uchaguzi jimbo la Vunjo baada ya kupata kura 40,170.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Dk Charles Kimei ashinda ubunge Vunjo

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Vunjo, Michael Mwandezi amemtangaza Dk Charles Kimei kupitia CCM kuwa mshindi katika uchaguzi jimbo la Vunjo baada ya kupata kura 40,170.

Josephat Gwajima ashinda ubunge Kawe

Halima Mdee ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Josephat Gwajima kwa kupata kura 194,833 sawa asilimia 84.02
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Josephat Gwajima ashinda ubunge Kawe

Halima Mdee ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Josephat Gwajima kwa kupata kura 194,833 sawa asilimia 84.02

Maalim Seif aachiwa

Aliyekuwa mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya  ACT Wazalendo,  Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na mgombea mwenza Profesa Omar Fakih wameachiwa kwa dhamana.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Maalim Seif aachiwa

Aliyekuwa mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya  ACT Wazalendo,  Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na mgombea mwenza Profesa Omar Fakih wameachiwa kwa dhamana.

Dk Mwinyi apata kura 380,402 Zanzibar, atangazwa mshindi

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk Hussein Mwinyi kuwa mshindi wa kiti hicho kwa kupata kura 380,402 sawa na asilimia 76.27 ya kura zote.  
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Dk Mwinyi apata kura 380,402 Zanzibar, atangazwa mshindi

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imemtangaza mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dk Hussein Mwinyi kuwa mshindi wa kiti hicho kwa kupata kura 380,402 sawa na asilimia 76.27 ya kura zote.  

Abass Tarimba ashinda ubunge Kinondoni

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kinondoni na Kawe, Aron Kagurumjuli amemtangaza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kinondoni Abass Tarimba ameshinda baada ya kupata kura 112,014
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Abass Tarimba ashinda ubunge Kinondoni

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kinondoni na Kawe, Aron Kagurumjuli amemtangaza mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kinondoni Abass Tarimba ameshinda baada ya kupata kura 112,014

Lema apoteza ubunge Arusha Mjini

Godbless Lema wa Chadema ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Mrisho Gambo aliyepata kura  82,480.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lema apoteza ubunge Arusha Mjini

Godbless Lema wa Chadema ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Mrisho Gambo aliyepata kura  82,480.

Profesa J apoteza ubunge jimbo la Mikumi

Joseph Haule maarufu Profesa J ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la Mikumi mkoani Morogoro kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Dennis Londo aliyepata kura 31,411
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Profesa J apoteza ubunge jimbo la Mikumi

Joseph Haule maarufu Profesa J ameshindwa kutetea kiti cha ubunge katika jimbo la Mikumi mkoani Morogoro kwa tiketi ya Chadema baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Dennis Londo aliyepata kura 31,411

Lazaro Nyalandu ashindwa ubunge Singida

Singida. Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Abeid Ighondo aliyepata kura 43,847.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lazaro Nyalandu ashindwa ubunge Singida

Singida. Mgombea ubunge kupitia Chadema Lazaro Nyalandu ameshindwa ubunge katika jimbo la Singida Kaskazini baada ya kushindwa na mgombea wa CCM, Abeid Ighondo aliyepata kura 43,847.

Rashford apiga tatu Man u ikishinda 5-0

Super sub Marcus Rashford usiku wa kumamkia leo Alhamisi Oktoba 29 amefunga mabao safi matatu katika kipindi cha pili wakati Manchester United ilipowazamisha vinara wa Ligi Kuu ya Ujerumani, RB Leipzig kwa mabao 5-0 na kushika uongozi wa kundi lao la Ligi ya
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Rashford apiga tatu Man u ikishinda 5-0

Super sub Marcus Rashford usiku wa kumamkia leo Alhamisi Oktoba 29 amefunga mabao safi matatu katika kipindi cha pili wakati Manchester United ilipowazamisha vinara wa Ligi Kuu ya Ujerumani, RB Leipzig kwa mabao 5-0 na kushika uongozi wa kundi lao la Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Morrison aikosa Yanga kwa adhabu

Kamati ya Saa 72 iliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia mwamuzi Shomary Lawi kutojihusisha na soka kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kushindwa kumudu mechi kati ya Prisons na Simba iliyochezwa Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumb
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Morrison aikosa Yanga kwa adhabu

Kamati ya Saa 72 iliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia mwamuzi Shomary Lawi kutojihusisha na soka kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kushindwa kumudu mechi kati ya Prisons na Simba iliyochezwa Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga.

CCM yashinda udiwani kata zote 36 Mbeya Mjini, Kyela kata 32

Vilevile katika jimbo jingine la Kyela mkoani Mbeya, chama tawala pia kimeibuka kidedea kwa nafasi ya udiwani baada ya kushinda kata 32 kati ya 33 jmboni humo, wakati Chadema imeshinda kata moja, amethibitisha haya Msimamizi Mkuu wa Uchunguzi Jimbo la Kyela E
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

CCM yashinda udiwani kata zote 36 Mbeya Mjini, Kyela kata 32

Vilevile katika jimbo jingine la Kyela mkoani Mbeya, chama tawala pia kimeibuka kidedea kwa nafasi ya udiwani baada ya kushinda kata 32 kati ya 33 jmboni humo, wakati Chadema imeshinda kata moja, amethibitisha haya Msimamizi Mkuu wa Uchunguzi Jimbo la Kyela Ezekiel Magehema alipozungumza na Mwananchi.

Madiwani CCM washinda kata zote 20 jimbo la Arumeru Mashariki

Wagombea wote wa udiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) katika kata 20 zilizofanya uchaguzi kati ya kata 26 jimbo la Arumeru Mashariki wameshinda.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Madiwani CCM washinda kata zote 20 jimbo la Arumeru Mashariki

Wagombea wote wa udiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) katika kata 20 zilizofanya uchaguzi kati ya kata 26 jimbo la Arumeru Mashariki wameshinda.

CCM yashinda jimbo la Handeni

Mgombea ubunge wa CCM Jimbo la  Handeni,  Reuben Kwagilwa ametangazwa kushinda nafasi hiyo kwa kupata kura 15,241 huku aliyemfuatia mgombea wa CUF, Sonia Magogo akipata kura 6713.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

CCM yashinda jimbo la Handeni

Mgombea ubunge wa CCM Jimbo la  Handeni,  Reuben Kwagilwa ametangazwa kushinda nafasi hiyo kwa kupata kura 15,241 huku aliyemfuatia mgombea wa CUF, Sonia Magogo akipata kura 6713.

Salome Makamba mbaroni akidaiwa kumpiga msimamizi

Kamanda wa Polisi anasema yeyote ambaye hajaridhishwa na matokeo au mchakato mzima kuna mamlaka zinazohusika apeleke malalamiko badala ya kuchukua sheria mkononi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Salome Makamba mbaroni akidaiwa kumpiga msimamizi

Kamanda wa Polisi anasema yeyote ambaye hajaridhishwa na matokeo au mchakato mzima kuna mamlaka zinazohusika apeleke malalamiko badala ya kuchukua sheria mkononi.

Mbowe ashindwa uchaguzi wa ubunge jimbo la Hai

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema amekuwa kiongozi na mbunge wa zamani wa kwanza wa chama hicho kushindwa kutetea nafasi yake ya ubunge baada ya mshindani wake kutangazwa kuwa mshindi jimbo la Hai.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mbowe ashindwa uchaguzi wa ubunge jimbo la Hai

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema amekuwa kiongozi na mbunge wa zamani wa kwanza wa chama hicho kushindwa kutetea nafasi yake ya ubunge baada ya mshindani wake kutangazwa kuwa mshindi jimbo la Hai.

Get more results via ClueGoal