Tanzania



Membe atangaza kuibuka dakika za lala salama

Bernard Membe, mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo amesema bado ni mgombea wa chama hicho licha ya kuelezwa kuwa yupo kimya, kubainisha kuwa sasa ataibuka dakika za lala salama, akijifananisha na mchezaji aliyeingizwa uwanjani dakika za 89.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Membe atangaza kuibuka dakika za lala salama

Bernard Membe, mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo amesema bado ni mgombea wa chama hicho licha ya kuelezwa kuwa yupo kimya, kubainisha kuwa sasa ataibuka dakika za lala salama, akijifananisha na mchezaji aliyeingizwa uwanjani dakika za 89.

Upelelezi kesi ya bosi wa zamani MSD wafikia pazuri

Kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa  Bohari ya Dawa Tanzania(MSD),Laurean Bwanakunu na wenzake  upelelezi umefika hatua nzuri ili kukamilika.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Upelelezi kesi ya bosi wa zamani MSD wafikia pazuri

Kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa  Bohari ya Dawa Tanzania(MSD),Laurean Bwanakunu na wenzake  upelelezi umefika hatua nzuri ili kukamilika.

Aguero azua jambo kwa mwamuzi

Mshambuliaji huyo wa Manchester City alikuwa akibishana na mwamuzi juu ya mpira wa kurushwa aliowapa Arsenal nja kuishia kumshika begani.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Aguero azua jambo kwa mwamuzi

Mshambuliaji huyo wa Manchester City alikuwa akibishana na mwamuzi juu ya mpira wa kurushwa aliowapa Arsenal nja kuishia kumshika begani.

Wadau wajikite katika elimu ya mpigakura

Kwa takriban siku 50 zilizopita tangu kampeni zilipoanza tumeshuhudia jinsi viongozi, wafuasi na wagombea kutoka vyama mbalimbali vya siasa walivyokuwa wanapita na kujenga hoja kutafuta uungwaji mkono.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wadau wajikite katika elimu ya mpigakura

Kwa takriban siku 50 zilizopita tangu kampeni zilipoanza tumeshuhudia jinsi viongozi, wafuasi na wagombea kutoka vyama mbalimbali vya siasa walivyokuwa wanapita na kujenga hoja kutafuta uungwaji mkono.

Guinea inavyomchagua rais wake katikati ya dimbwi la damu

Kuna koloni la zamani la Hispania, Spanish Guinea ambayo sasa inaitwa Equatorial Guinea, ipo Guinea ya Ureno inayoitwa Guinea-Bissau na Guinea ya Ufaransa, kwa maana ya Guinea.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Guinea inavyomchagua rais wake katikati ya dimbwi la damu

Kuna koloni la zamani la Hispania, Spanish Guinea ambayo sasa inaitwa Equatorial Guinea, ipo Guinea ya Ureno inayoitwa Guinea-Bissau na Guinea ya Ufaransa, kwa maana ya Guinea.

Shughuli ya kijamii ya Omjubulo yachelewesha mkutano wa Salum Mwalimu

Mkutano wa mgombea mwenza wa Urais Chadema Salum Mwalimu umesimama kwa muda kutokana na kuwepo na shughuli ya 'Omjubulo.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Shughuli ya kijamii ya Omjubulo yachelewesha mkutano wa Salum Mwalimu

Mkutano wa mgombea mwenza wa Urais Chadema Salum Mwalimu umesimama kwa muda kutokana na kuwepo na shughuli ya 'Omjubulo.

Wadau: Yanga mkiwa na matokeo Kaze hatadumu

Kaze alitua nchini Alhamis iliyopita usiku kuchukua mikoba ya Zlatko Krmpotic aliyetimuliwa mwezi uliopita kutokana na kile kilichodaiwa timu haichezi soka la kuvutia licha ya kupata ushindi katika mechi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Wadau: Yanga mkiwa na matokeo Kaze hatadumu

Kaze alitua nchini Alhamis iliyopita usiku kuchukua mikoba ya Zlatko Krmpotic aliyetimuliwa mwezi uliopita kutokana na kile kilichodaiwa timu haichezi soka la kuvutia licha ya kupata ushindi katika mechi.

Chelsea yampa Lionel Messi Sh1 bilioni kwa wiki

London, England. Chelsea imeripotiwa kwamba ishajiweka sawa na kukubali kumlipa supastaa Lionel Messi mshahara wa Pauni 1 milioni kwa wiki ili atue kwenye kikosi chao wakati ilipotenga ada ya Pauni 225 milioni kumsajili mwaka 2014.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Chelsea yampa Lionel Messi Sh1 bilioni kwa wiki

London, England. Chelsea imeripotiwa kwamba ishajiweka sawa na kukubali kumlipa supastaa Lionel Messi mshahara wa Pauni 1 milioni kwa wiki ili atue kwenye kikosi chao wakati ilipotenga ada ya Pauni 225 milioni kumsajili mwaka 2014.

Soka tamu la Chama lashtua

Chama alijiunga na Simba Julai, mwaka juzi na amekuwa chachu ya mafanikio ya kikosi cha Msimbazi kilichotwaa ubingwa misimu miwili mfululizo, kubeba Kombe la FA na kufika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2018-2019.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Soka tamu la Chama lashtua

Chama alijiunga na Simba Julai, mwaka juzi na amekuwa chachu ya mafanikio ya kikosi cha Msimbazi kilichotwaa ubingwa misimu miwili mfululizo, kubeba Kombe la FA na kufika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2018-2019.

Mastaa Msimbazi wabadili gia

Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), ratiba kamili itatangazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo lakini mechi za mtoano za ligi hiyo zitaanza Novemba 27-29, huku marudiano yakiwa Desemba 4-6. Raundi ya kwanza inaanza Desemba 22-23 na marudiano J
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mastaa Msimbazi wabadili gia

Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), ratiba kamili itatangazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo lakini mechi za mtoano za ligi hiyo zitaanza Novemba 27-29, huku marudiano yakiwa Desemba 4-6. Raundi ya kwanza inaanza Desemba 22-23 na marudiano Januari 5-6, mwakani. Hatua ya makundi itaanza Februari 13-14 na robo fainali itapigwa Mei.

Kaze apewe muda, sio presha Yanga

Kocha Cedric Kaze aliyekuwa akihitajika Yanga hata kabla ya ujio wa Zlatko Krmpotic ameshatua. Ameshajifunga mkataba wa miaka miwili. Kilichobaki sasa kwa mashabiki ni kutaka kuona ile kampa..kampa tena ikirejea Yanga.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kaze apewe muda, sio presha Yanga

Kocha Cedric Kaze aliyekuwa akihitajika Yanga hata kabla ya ujio wa Zlatko Krmpotic ameshatua. Ameshajifunga mkataba wa miaka miwili. Kilichobaki sasa kwa mashabiki ni kutaka kuona ile kampa..kampa tena ikirejea Yanga.

Mchongo wa Diamond, Zuchu, Tuzo za Grammy uko hivi

Kumbuka, kwa upande wa tuzo za muziki, Grammy ndizo tuzo kubwa na za heshima zaidi kwa mwanamuziki yoyote yule duniani kwa zaidi ya miaka 60 sasa tangu zilipoanza kutolewa kwake. Yaani kuanzia Jay Z, Drake, Ray C, Alikiba, Ruby, Nandy au Adelle mpaka Barnaba
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mchongo wa Diamond, Zuchu, Tuzo za Grammy uko hivi

Kumbuka, kwa upande wa tuzo za muziki, Grammy ndizo tuzo kubwa na za heshima zaidi kwa mwanamuziki yoyote yule duniani kwa zaidi ya miaka 60 sasa tangu zilipoanza kutolewa kwake. Yaani kuanzia Jay Z, Drake, Ray C, Alikiba, Ruby, Nandy au Adelle mpaka Barnaba wote wanaota kupata tuzo hizi na kwa ambao wameshapata huenda bado wanaota kuvunja rekodi kwa kuzipata nyingi zaidi.

Cardi B ajikaanga twitter

Rapa huyo ambaye jina lake halisi ni Belcalis Almanzar aliposti picha hiyo mwanzoni mwa wiki hii ambayo ilikuwa ikionesha kifua chake kikiwa wazi na baadae kuifuta. Pamoja na hilo kutokea kwa bahati mbaya alisema sio tukio linalompa ‘stress’.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Cardi B ajikaanga twitter

Rapa huyo ambaye jina lake halisi ni Belcalis Almanzar aliposti picha hiyo mwanzoni mwa wiki hii ambayo ilikuwa ikionesha kifua chake kikiwa wazi na baadae kuifuta. Pamoja na hilo kutokea kwa bahati mbaya alisema sio tukio linalompa ‘stress’.

Mgombea Chadema kubana wawekezaji wachangie maendeleo

Rungwe. Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Rungwe, Sophia Mwakagenda amesema akipata ridhaa atahakikisha inakuwepo sheria ya kuwabana wawekezaji wasiochangia miradi ya maendeleo ya wananchi.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mgombea Chadema kubana wawekezaji wachangie maendeleo

Rungwe. Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema katika Jimbo la Rungwe, Sophia Mwakagenda amesema akipata ridhaa atahakikisha inakuwepo sheria ya kuwabana wawekezaji wasiochangia miradi ya maendeleo ya wananchi.

Dk Mwinyi aahidi mazingira mazuri kwa Watanzania nje ya nchi

Dk Hussein Mwinyi amewakaribisha Watanzania waishio nje ya nchi kuwekeza visiwani humo huku akiwahakikishia usalama wao na mali walizowekeza.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Dk Mwinyi aahidi mazingira mazuri kwa Watanzania nje ya nchi

Dk Hussein Mwinyi amewakaribisha Watanzania waishio nje ya nchi kuwekeza visiwani humo huku akiwahakikishia usalama wao na mali walizowekeza.

VIDEO: Gavana wa Narok, Kenya anusurika kifo ajali ya helikopta

Ajali hiyo ilitokea Jumamosi Oktoba 17, 2020 wakati wakitoka katika Kijiji cha Enkipejus kilichopo kaskazini mwa Narok. Walikuwa wamekwenda kuhudhuria mazishi ya Tompo Ole Sasai, ambaye ni baba wa mkuu wa idara ya fedha wa kaunti hiyo, Julius Sasai.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

VIDEO: Gavana wa Narok, Kenya anusurika kifo ajali ya helikopta

Ajali hiyo ilitokea Jumamosi Oktoba 17, 2020 wakati wakitoka katika Kijiji cha Enkipejus kilichopo kaskazini mwa Narok. Walikuwa wamekwenda kuhudhuria mazishi ya Tompo Ole Sasai, ambaye ni baba wa mkuu wa idara ya fedha wa kaunti hiyo, Julius Sasai.

Magufuli kumalizia Dodoma, Majaliwa Lindi na Mtwara

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Polepole alisema Rais Magufuli kabla ya kumalizia mkoani Dodoma atapitia mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara na mwishowe jijini Dodoma mahali aliposema atapiga kura.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli kumalizia Dodoma, Majaliwa Lindi na Mtwara

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Polepole alisema Rais Magufuli kabla ya kumalizia mkoani Dodoma atapitia mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara na mwishowe jijini Dodoma mahali aliposema atapiga kura.

Kero tano za Muungano zafutwa

Ufumbuzi wa kero hizo tano unatokana na vikao vya kamati ya pamoja ya serikali zote mbili februari 9 mwaka jana chini ya Makamu wa Rais anayesimamia wizara inayohusika na masuala ya Muungano nchini.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kero tano za Muungano zafutwa

Ufumbuzi wa kero hizo tano unatokana na vikao vya kamati ya pamoja ya serikali zote mbili februari 9 mwaka jana chini ya Makamu wa Rais anayesimamia wizara inayohusika na masuala ya Muungano nchini.

Profesa aomba kura akatatue changamoto za walima korosho

Mgombea Urais CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi wananchi wa Tunduru kumaliza changamoto zinazowakabili wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na masoko pamoja na bei endapo watamchagua kuwa Rais wao.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Profesa aomba kura akatatue changamoto za walima korosho

Mgombea Urais CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewaahidi wananchi wa Tunduru kumaliza changamoto zinazowakabili wakulima wa korosho ikiwa ni pamoja na masoko pamoja na bei endapo watamchagua kuwa Rais wao.

Lissu: Nikiwa rais Bunge litarushwa mubashara

Mgombea huyo aliwataka wananchi kuhamasishana kwenda kupiga kura ili kufanya mabadiliko ya utawala wa nchi yao zikiwa zimebaki siku 9 kufikia siku ya Uchaguzi, Oktoba 28.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lissu: Nikiwa rais Bunge litarushwa mubashara

Mgombea huyo aliwataka wananchi kuhamasishana kwenda kupiga kura ili kufanya mabadiliko ya utawala wa nchi yao zikiwa zimebaki siku 9 kufikia siku ya Uchaguzi, Oktoba 28.

Magufuli kuendelea na kampeni Pwani, kuhitimisha Dodoma

Mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli Oktoba 19, 2020 ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa sita akianzia Pwani na kumalizia mkoani Dodoma Oktoba 26, 2020.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Magufuli kuendelea na kampeni Pwani, kuhitimisha Dodoma

Mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli Oktoba 19, 2020 ataendelea na mikutano ya kampeni katika mikoa sita akianzia Pwani na kumalizia mkoani Dodoma Oktoba 26, 2020.

Alichokisema Kikwete kuhusu CCM, Magufuli

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kwa kuwa chama hicho tawala kina sera nzuri na kinazitekeleza.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Alichokisema Kikwete kuhusu CCM, Magufuli

Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wananchi kuchagua wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kwa kuwa chama hicho tawala kina sera nzuri na kinazitekeleza.

Lissu: Nichagueni kuwa rais niwe mfariji wenu

Mgombea urais kupitia Chadema, Tundu Lissu amewaomba Watanzania kumchagua ili aweze kuwafariji kwa kuwatatulia kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo ukosefu wa maji safi na salama.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Lissu: Nichagueni kuwa rais niwe mfariji wenu

Mgombea urais kupitia Chadema, Tundu Lissu amewaomba Watanzania kumchagua ili aweze kuwafariji kwa kuwatatulia kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo ukosefu wa maji safi na salama.

Mvua iliyotikisa Dar ilivyoacha misemo mitandaoni

Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo hutumia matukio husika kufanya masihara, na moja ya matukio hayo ni mvua kubwa iliyonyesha Oktoba 14 na 15, 2020 jijini Dar es Salaam na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo huku watu 12 wakiripotiwa kufariki dunia.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Mvua iliyotikisa Dar ilivyoacha misemo mitandaoni

Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo hutumia matukio husika kufanya masihara, na moja ya matukio hayo ni mvua kubwa iliyonyesha Oktoba 14 na 15, 2020 jijini Dar es Salaam na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo huku watu 12 wakiripotiwa kufariki dunia.

Kwa hili la umri Simba wamepiga bao

MASHABIKI wa Simba na Yanga wamezoeleka kutupiana vijembe kuhusu umri wa wachezaji. Utasikia “jamaa wamesajili wazee, ooh!! Ile ni timu ya wazee, sasa yule si anacheza na wajukuu zake kabisa.” Hayo ni maneno ya kawaida kwa watani hao wa jadi na hakuna upa
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Kwa hili la umri Simba wamepiga bao

MASHABIKI wa Simba na Yanga wamezoeleka kutupiana vijembe kuhusu umri wa wachezaji. Utasikia “jamaa wamesajili wazee, ooh!! Ile ni timu ya wazee, sasa yule si anacheza na wajukuu zake kabisa.” Hayo ni maneno ya kawaida kwa watani hao wa jadi na hakuna upande ambao unaweza kukubali kushindwa kirahisi vita hiyo ya maneno.

Ugomvi wasababisha mwili uliozikwa miaka 20 kufukuliwa

Mwili wa mtu aliyefariki dunia na kuzikwa miaka 20 iliyopita umefukuliwa na mabaki ya mifupa yake kwenda kuhifadhiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya wilaya ya Butiama mkoani Mara baada ya kuibuka ugomvi wa kifamilia.
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

Ugomvi wasababisha mwili uliozikwa miaka 20 kufukuliwa

Mwili wa mtu aliyefariki dunia na kuzikwa miaka 20 iliyopita umefukuliwa na mabaki ya mifupa yake kwenda kuhifadhiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya wilaya ya Butiama mkoani Mara baada ya kuibuka ugomvi wa kifamilia.

China daima inasimamia muunganiko wa nchi nyingi

«Tunapaswa kufanya juhudi kufanikisha ahueni ya uchumi wa kijani wa ulimwengu katika kipindi baada ya COVID na kuunda nguvu kubwa inayoendesha maendeleo endelevu,» - Balozi Wang Ke
Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwananchi

China daima inasimamia muunganiko wa nchi nyingi

«Tunapaswa kufanya juhudi kufanikisha ahueni ya uchumi wa kijani wa ulimwengu katika kipindi baada ya COVID na kuunda nguvu kubwa inayoendesha maendeleo endelevu,» - Balozi Wang Ke

Get more results via ClueGoal