Hoja mbili zazua mjadala mkali bungeni Dodoma
newsare.net
Masuala mawili kuhusu ukubwa wa majimbo ya uchaguzi na mamlaka ya halmashauri jana yalizua mjadala wakati Bunge likijadili bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi) kwa mwaka 2020/2021.Hoja mbili zazua mjadala mkali bungeni Dodoma
Masuala mawili kuhusu ukubwa wa majimbo ya uchaguzi na mamlaka ya halmashauri jana yalizua mjadala wakati Bunge likijadili bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi) kwa mwaka 2020/2021.














