Wabunge Chadema, Meya Ubungo wafikishwa mahakamani Kisutu
newsare.net
Dar es Salaam. Wabunge watatu wa Chadema, Halima Mdee, Ester Bulaya na Jesca Kishoa pamoja na Meya wa Ubungo, Boniface Jacob wamefikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Machi 23, 2020.Wabunge Chadema, Meya Ubungo wafikishwa mahakamani Kisutu
Dar es Salaam. Wabunge watatu wa Chadema, Halima Mdee, Ester Bulaya na Jesca Kishoa pamoja na Meya wa Ubungo, Boniface Jacob wamefikishwa katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Machi 23, 2020.














