Kenya, Rwanda zafunga shule na nyumba za ibada kudhibiti corona
newsare.net
Serikali ya Rwanda imetangaza kufunga shule zote za umma na binafsi, nyumba za ibada na sehemu zote za umma ikiwa ni njia za kukabiliana na kuenea kwa homa ya virusi vya corona (Covid-19) nchini humo.Kenya, Rwanda zafunga shule na nyumba za ibada kudhibiti corona
Serikali ya Rwanda imetangaza kufunga shule zote za umma na binafsi, nyumba za ibada na sehemu zote za umma ikiwa ni njia za kukabiliana na kuenea kwa homa ya virusi vya corona (Covid-19) nchini humo.














