DC Taka: Ulinzi uimarishwe Ngorongoro kuzuia kupitisha silaha
newsare.net
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Rashid Taka ameishauri Serikali kupeleka kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wilayani humo ili kuimarisha ulinzi na kuzuia silaha za kivita kuingizwa nchini kupitia njia za panya.DC Taka: Ulinzi uimarishwe Ngorongoro kuzuia kupitisha silaha
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Rashid Taka ameishauri Serikali kupeleka kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wilayani humo ili kuimarisha ulinzi na kuzuia silaha za kivita kuingizwa nchini kupitia njia za panya. Read more