Lukuvi akutana na ‘ugeni’ wa watu 1,000 kero za ardhi Mara
newsare.net
Zaidi ya watu 1,000 kutoka wilaya tatu za Mkoa wa Mara wamejitokeza kuwasilisha malalamiko ya kero za ardhi kwa waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi aliyefanya ziara ya siku mbili mkoani humo.Lukuvi akutana na ‘ugeni’ wa watu 1,000 kero za ardhi Mara
Zaidi ya watu 1,000 kutoka wilaya tatu za Mkoa wa Mara wamejitokeza kuwasilisha malalamiko ya kero za ardhi kwa waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi aliyefanya ziara ya siku mbili mkoani humo. Read more