Mvutano wa Kubenea, Komu waipa Chadema sura mpya
newsare.net
Baada ya mvutano wa maneno kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kauli za wabunge wa Chadema Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini) zilizoashiria kama wanataka kukihama chama hicho, Kamati Kuu ya Chama hicho imekutana na kuto adhabu kwa wabunge haMvutano wa Kubenea, Komu waipa Chadema sura mpya
Baada ya mvutano wa maneno kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kauli za wabunge wa Chadema Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini) zilizoashiria kama wanataka kukihama chama hicho, Kamati Kuu ya Chama hicho imekutana na kuto adhabu kwa wabunge hao ikiwamo kuvuliwa nyadhifa za uongozi wa chama, kupewa onyo na kuwekwa chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja. Read more