Wajumbe Bunge la Katiba wafunguka
newsare.net
Baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku juzi kusema kuwa mjadala wa kupata Katiba mpya haujafa, baadhi ya waliokuwa wajumbe wa Bunge la Katiba wameunga mkono kauli hiyo.Wajumbe Bunge la Katiba wafunguka
Baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku juzi kusema kuwa mjadala wa kupata Katiba mpya haujafa, baadhi ya waliokuwa wajumbe wa Bunge la Katiba wameunga mkono kauli hiyo. Read more