Lowassa ategua mtego wa Chadema, CCM
newsare.net
Alipokuwa akitoa hotuba ya kujiuzulu uwaziri mkuu, wabunge wa vyama vyote walikuwa wakipiga meza kushangilia. Kama ulidhani safari yake kisiasa ingeishia hapo, ungekuwa umekosea, tena ungekosea sana.Lowassa ategua mtego wa Chadema, CCM
Alipokuwa akitoa hotuba ya kujiuzulu uwaziri mkuu, wabunge wa vyama vyote walikuwa wakipiga meza kushangilia. Kama ulidhani safari yake kisiasa ingeishia hapo, ungekuwa umekosea, tena ungekosea sana. Read more