Kesi ya Halima Mdee yakwama
newsare.net
Kesi ya kutoa lugha chafu dhidi ya Rais John Magufuli inayomkabili mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee imekwama kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na wakili wa Serikali kutokuwapo.Kesi ya Halima Mdee yakwama
Kesi ya kutoa lugha chafu dhidi ya Rais John Magufuli inayomkabili mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee imekwama kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutokana na wakili wa Serikali kutokuwapo. Read more