Ajali za barabarani zapungua nchini; Kamanda Muslim
newsare.net
Kamanda wa Kikosi cha Polisi wa Usalama Barabarani nchini, Fortunatus Muslim amesema wakati ajali za barabarani zikipungua, vyombo vya habari vinapaswa kufanya tafiti za kina ili kuleta masuluhisho katika kupunguza zaidi ajali za barabarani.Ajali za barabarani zapungua nchini; Kamanda Muslim
Kamanda wa Kikosi cha Polisi wa Usalama Barabarani nchini, Fortunatus Muslim amesema wakati ajali za barabarani zikipungua, vyombo vya habari vinapaswa kufanya tafiti za kina ili kuleta masuluhisho katika kupunguza zaidi ajali za barabarani. Read more