Waziri Nyongo ataka wachimbaji Nachingwea kuanzisha mfuko wa maafa
newsare.net
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Madini nchini Tanzania, Stanslaus Nyongo amewaagiza wachimbaji wadogo wa madini wa Wilaya za Nachingwea na Liwale kuanzisha mfuko wa maafa na dharura kuwasaidia wanapopata matatizo kazini.Waziri Nyongo ataka wachimbaji Nachingwea kuanzisha mfuko wa maafa
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Madini nchini Tanzania, Stanslaus Nyongo amewaagiza wachimbaji wadogo wa madini wa Wilaya za Nachingwea na Liwale kuanzisha mfuko wa maafa na dharura kuwasaidia wanapopata matatizo kazini. Read more