Abiria ndege ya Air Tanzania iliyozuiwa kuondoka Afrika Kusini watafutiwa usafiri mwingine
newsare.net
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi amesema abiria wa ndege ya Air Tanzania iliyozuiwa kuondoka katika uwanja wa ndege wa Oliver Tambo, Johannesburg nchini Afrika Kusini wametafutiwa usafiri mbadala.Abiria ndege ya Air Tanzania iliyozuiwa kuondoka Afrika Kusini watafutiwa usafiri mwingine
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi amesema abiria wa ndege ya Air Tanzania iliyozuiwa kuondoka katika uwanja wa ndege wa Oliver Tambo, Johannesburg nchini Afrika Kusini wametafutiwa usafiri mbadala. Read more