Kazi imeanza ... majeruhi wafumua benchi Yanga
newsare.net
MABOSI wa Yanga wameshtukia jambo moja ambalo lilianza kama utani, kabla ya kubaini limewapotezea mastaa wao wa maana na sasa kuna akili moja waliyopanga kufanya ili kulifumua benchi lao la ufundi lililopo chini ya Kocha Mwinyi Zahera.Kazi imeanza ... majeruhi wafumua benchi Yanga
MABOSI wa Yanga wameshtukia jambo moja ambalo lilianza kama utani, kabla ya kubaini limewapotezea mastaa wao wa maana na sasa kuna akili moja waliyopanga kufanya ili kulifumua benchi lao la ufundi lililopo chini ya Kocha Mwinyi Zahera. Read more