Kafulila awaonya walimu, waratibu elimu Songwe
newsare.net
Katibu Tawala mkoani Songwe nchini Tanzania, David Kafulila amesema wasimamizi wa elimu na walimu mkoani humo wameshindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo hali inayoufanya mkoa huo kushuka kitaaluma.Kafulila awaonya walimu, waratibu elimu Songwe
Katibu Tawala mkoani Songwe nchini Tanzania, David Kafulila amesema wasimamizi wa elimu na walimu mkoani humo wameshindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo hali inayoufanya mkoa huo kushuka kitaaluma. Read more