Bomu laua watu wanne Somalia
newsare.net
Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari likiwalenga wajenzi kutoka Uturuki limelipuka katika eneo la Afgoye, kaskazini Magharibi mwa mji mkuu wa Mogadishu, Somalia limeua watu wanne, polisi wamesema.Bomu laua watu wanne Somalia
Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari likiwalenga wajenzi kutoka Uturuki limelipuka katika eneo la Afgoye, kaskazini Magharibi mwa mji mkuu wa Mogadishu, Somalia limeua watu wanne, polisi wamesema. Read more