Sumaye ametimiza nilichotarajia
newsare.net
Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye ametimiza kile ambacho nilidhani kinapaswa kutokea, amejiunga na chama chake cha CCM kilichomlea na kumfikisha hapo alipo. Mwaka jana nilipoandika kuhusu mwelekeo wake wa kisiasa nilitilia shaka msimamo wake wa awali kwambSumaye ametimiza nilichotarajia
Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye ametimiza kile ambacho nilidhani kinapaswa kutokea, amejiunga na chama chake cha CCM kilichomlea na kumfikisha hapo alipo. Mwaka jana nilipoandika kuhusu mwelekeo wake wa kisiasa nilitilia shaka msimamo wake wa awali kwamba angeweza kuachana na siasa au kuwa mshauri wa kisiasa wa jumla; nilisisitiza kuwa msimamo wake hautekelezeki kwa sababu ambazo nilizianisha. Read more