Serikali Tanzania yawaondoa hofu wafanyabiashara
newsare.net
Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu wafanyabiashara waliokuwa wakikumbana na vikwazo wakati wa kusafirisha mizigo kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kupitia Zambia, kubainisha kuwa vitamalizika hivi karibuni.Serikali Tanzania yawaondoa hofu wafanyabiashara
Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu wafanyabiashara waliokuwa wakikumbana na vikwazo wakati wa kusafirisha mizigo kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kupitia Zambia, kubainisha kuwa vitamalizika hivi karibuni. Read more