Kesi mpya wakurugenzi kusimamia uchaguzi yatua Mahakama ya Afrika
newsare.net
Mwanaharakati wa Katiba, Bob Wangwe akishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamefungua kesi katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR) kupinga wakurugenzi wa halmashauri kusimamia uchaguzi.Kesi mpya wakurugenzi kusimamia uchaguzi yatua Mahakama ya Afrika
Mwanaharakati wa Katiba, Bob Wangwe akishirikiana na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamefungua kesi katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR) kupinga wakurugenzi wa halmashauri kusimamia uchaguzi. Read more














