Majaliwa awapiga ‘stop’ mawaziri kufanya ziara
newsare.net
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka mawaziri wote kusitisha ziara za kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo badala yake waelekeze nguvu kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa corona nchini.Majaliwa awapiga ‘stop’ mawaziri kufanya ziara
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka mawaziri wote kusitisha ziara za kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo badala yake waelekeze nguvu kuzuia kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa corona nchini. Read more














