Mgonjwa wa corona afariki nchini Kenya
newsare.net
Mgonjwa wa kwanza mwenye maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya amefariki dunia katika Hospitali ya Aga Khan. Akitangaza kifo hicho leo Alhamisi Machi 26, 2020 Waziri wa Afya nchini humo, Mutahi Kagwe amesema mgonjwa huyo amefariki leo mchana.Mgonjwa wa corona afariki nchini Kenya
Mgonjwa wa kwanza mwenye maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya amefariki dunia katika Hospitali ya Aga Khan. Akitangaza kifo hicho leo Alhamisi Machi 26, 2020 Waziri wa Afya nchini humo, Mutahi Kagwe amesema mgonjwa huyo amefariki leo mchana. Read more