Wapigwa faini ya Sh230 milioni baada ya kusafirisha makontena 18 ya magogo, bila kibali
newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu raia wawili wa India, Manish Khattar(38)na Rajesh Velram(52) kulipa faini ya Sh230 milioni baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na makontena 18 ya magogo aina ya mpigo yenye thamani ya Sh500 milioni.Wapigwa faini ya Sh230 milioni baada ya kusafirisha makontena 18 ya magogo, bila kibali
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu raia wawili wa India, Manish Khattar(38)na Rajesh Velram(52) kulipa faini ya Sh230 milioni baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na makontena 18 ya magogo aina ya mpigo yenye thamani ya Sh500 milioni. Read more