Mdee ataka wabunge wote wapimwe corona
newsare.net
Mbunge wa Kawe nchini Tanzania (Chadema), Halima Mdee ameshauri wabunge wote kupimwa virusi vya ugonjwa wa corona na wale watakaobainika wakawekwe katika karantini.Mdee ataka wabunge wote wapimwe corona
Mbunge wa Kawe nchini Tanzania (Chadema), Halima Mdee ameshauri wabunge wote kupimwa virusi vya ugonjwa wa corona na wale watakaobainika wakawekwe katika karantini. Read more