Mgonjwa aliyepona corona anaweza kupata mara ya pili? Jibu hili hapa
newsare.net
Ofisa programu wa elimu ya afya kwa umma nchini Tanzania, Dk Tumaini Haonga amesema bado hakuna ushahidi wa kisayansi unaobainisha kuwa mgonjwa aliyepona maambukizi ya korona hawezi kuambukizwa mara ya pili.Mgonjwa aliyepona corona anaweza kupata mara ya pili? Jibu hili hapa
Ofisa programu wa elimu ya afya kwa umma nchini Tanzania, Dk Tumaini Haonga amesema bado hakuna ushahidi wa kisayansi unaobainisha kuwa mgonjwa aliyepona maambukizi ya korona hawezi kuambukizwa mara ya pili. Read more