Abiria wakaa chini ili daladala kutokamatwa kukiuka agizo maambukizi ya corona
newsare.net
Agizo la daladala kupakia abiria kulingana na idadi ya viti ili kupunguza wanaosimama kwa ajili ya kuepuka maambukizi ya virusi vya corona huenda halijaeleweka kutokana na baadhi yao kukaa chini kwenye mabasi hayo.Abiria wakaa chini ili daladala kutokamatwa kukiuka agizo maambukizi ya corona
Agizo la daladala kupakia abiria kulingana na idadi ya viti ili kupunguza wanaosimama kwa ajili ya kuepuka maambukizi ya virusi vya corona huenda halijaeleweka kutokana na baadhi yao kukaa chini kwenye mabasi hayo. Read more