VIDEO: Mbunge wa Rufiji afikisha kilio cha mafuriko bungeni
newsare.net
Dodoma. Mbunge wa Rufiji nchini Tanzania (CCM), Mohamed Mchengerwa amehoji hatua zinazochukuliwa na Bunge kuwaangalia watu waliokumbwa na maafa ya mafuriko kwenye wilaya hiyo ambao ni kati ya 20,000 hadi 50,000.VIDEO: Mbunge wa Rufiji afikisha kilio cha mafuriko bungeni
Dodoma. Mbunge wa Rufiji nchini Tanzania (CCM), Mohamed Mchengerwa amehoji hatua zinazochukuliwa na Bunge kuwaangalia watu waliokumbwa na maafa ya mafuriko kwenye wilaya hiyo ambao ni kati ya 20,000 hadi 50,000. Read more