Afariki kwa kupigwa na radi akiendesha pikipiki
newsare.net
Paul Chundu (27) mkazi wa mtaa wa Msasani manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi amepigwa radi na kufariki dunia wakati akiendesha pikipiki.Afariki kwa kupigwa na radi akiendesha pikipiki
Paul Chundu (27) mkazi wa mtaa wa Msasani manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi amepigwa radi na kufariki dunia wakati akiendesha pikipiki. Read more