Mgonjwa wa kwanza wa corona Kenya apona, aeleza alivyopata taarifa ya kuugua ugonjwa huo
newsare.net
Mtu wa kwanza kupata maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya amezungumza na umma kupitia video na Rais Uhuru Kenyatta akisema taarifa za kuwa na corona aliipata kupitia vyombo vya habari licha ya kuchukuliwa vipimo.Mgonjwa wa kwanza wa corona Kenya apona, aeleza alivyopata taarifa ya kuugua ugonjwa huo
Mtu wa kwanza kupata maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya amezungumza na umma kupitia video na Rais Uhuru Kenyatta akisema taarifa za kuwa na corona aliipata kupitia vyombo vya habari licha ya kuchukuliwa vipimo. Read more