Sababu za Spika kuzuia hotuba ya upinzani bungeni
newsare.net
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amezuia kusomwa kwa maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni kuhusu hotuba ya bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwa sababu wamekiuka kanuni za Bunge.Sababu za Spika kuzuia hotuba ya upinzani bungeni
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amezuia kusomwa kwa maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni kuhusu hotuba ya bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwa sababu wamekiuka kanuni za Bunge. Read more